Nikweli ata kule Facebook wanapost mfano ni yule kinara wa tonetone wa Canada Jana alipost maandalizi ya mkutano wa chaumma akasema eti mkutano haukuwa na watu
Yeye akutaka kuwela wazi jambo kubwa namna hiyo kabla ya wakati wake kwenye siasa za ushindani jambo hilo ni la kawaida TU labda kwa wana harakati ndio haiwezekani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.