Recent content by mkundajr

  1. mkundajr

    Naomba kujuzwa hili

    Habari wana JF Nahitaji kujuzwa hili suala kwa wanaojua. Nina mdogo wangu amesomea Journalism(certificate). Anataka kubadili course asomee Biashara. Je itabidi aanze tena na certificate au anaweza akaendelea na Diploma?
  2. mkundajr

    Mkutano wa Lowassa Monduli; Mwenyekiti wa CCM (W) avua gamba na wanachama 12647 warudisha kadi

    Hv hata kwa kuangalia kwa macho tu,hizo kadi zinafika elfu 12? Au ndo mnajitekenya na kucheka wenyewe?
  3. mkundajr

    Je ukosefu wa choo unaweza kusababisha ukosefu wa nguvu za kiume

    Kwa anayefahamu. Nimekuwa na tatizo la kupata choo kwa muda mrefu sasa,na hata pale ninapopata huwa ni kidogo pia kigumu mno. Tangu hili tatizo limeanza ufanisi wangu kwenye uwanja wa ndoa umeshuka mno. Kwa mwenye kufahamu sababu na tiba ya tatizo hili naomba anifahamishe,na je nikitumia dawa...
  4. mkundajr

    Kingunge kuhamia UKAWA rasmi muda wowote kuanzia sasa

    Chanzo cha habari hii?
  5. mkundajr

    Social network ingekuwa ndio mahali pa kupigia kura

    Ukiifuatilia mitandao ya kijamii,unaweza ukaamini kuwa Ukawa watashinda uchaguzi kwa asilimia nyingi sana. Lakini kiuharisia asilimia ya watanzania wengi hawatumii social network,na ndio mtaji wa ccm
  6. mkundajr

    Hoja ya CCM ya kupata kura za wanawake yavunjwa kwa ACT kumpitisha Anna Elisha Urais

    Kikatiba Umri wa Zitto haumruhusu kugombea urais
  7. mkundajr

    NEC: Fomu ya Urais iliyotolewa kwa ACT-Wazalendo lazima ijazwe na Kitila Mkumbo tu!

    Acha uongo.......!!. Kwani kitila alikuwa mgombea binafsi???. Fomu ni mali ya chama na sio mali ya mgombea.
  8. mkundajr

    Kutoka Diamond Jubliee Dsm: Mapokezi ya Magufuli baada ya kurejesha fomu NEC

    Hv kati ya magufuli na Lowasa nani acyejua kujieleza?
  9. mkundajr

    Mbeya wahoji uadilifu viongozi wa UKAWA

    Ukitaka kukwazana na hawa jamaa ongea ukweli unaowahusu,lazima utatukanwa tu. Yaani wao hujiona ni malaika,kila wakifanyacho ni kizuri. Ukiongea baya lao watakwambia unatumiwa,duuuuuh........!!.
  10. mkundajr

    Yusuf Manji amekatwa kura za maoni za udiwani kupitia CCM

    Marafki wa mamvi wote chalii
  11. mkundajr

    Prof. Lipumba na Dr. Slaa, Nini kimejificha nyuma ya hiyo misimamo yenu?

    Mabadiliko hayawezi kupatkana kwa kuwategemea wanasiasa,hasa hawa waliojaa uchu wa madaraka na unafki. Kama watanzania tunataka mabadiliko ya kweli tuingie front kama walivyofanya wamisri,wamorroco na walibya kipindi kile
  12. mkundajr

    UKAWA inahitaji maombi, mapambano ni makali mno

    Nchi hii mpinzani wa kweli ni Mchungaji Mtikila peke yake,wengine wote wananunulika
  13. mkundajr

    Kutoka NEC/Lumumba: John Magufuli kuchukua fomu ya kugombea Urais wa JMT

    Unashangaa kupungiwa? Ukpungiwa na ww punga
Back
Top Bottom