Habari wana JF
Nahitaji kujuzwa hili suala kwa wanaojua. Nina mdogo wangu amesomea Journalism(certificate). Anataka kubadili course asomee Biashara. Je itabidi aanze tena na certificate au anaweza akaendelea na Diploma?
Kwa anayefahamu.
Nimekuwa na tatizo la kupata choo kwa muda mrefu sasa,na hata pale ninapopata huwa ni kidogo pia kigumu mno. Tangu hili tatizo limeanza ufanisi wangu kwenye uwanja wa ndoa umeshuka mno.
Kwa mwenye kufahamu sababu na tiba ya tatizo hili naomba anifahamishe,na je nikitumia dawa...
Ukiifuatilia mitandao ya kijamii,unaweza ukaamini kuwa Ukawa watashinda uchaguzi kwa asilimia nyingi sana.
Lakini kiuharisia asilimia ya watanzania wengi hawatumii social network,na ndio mtaji wa ccm
Ukitaka kukwazana na hawa jamaa ongea ukweli unaowahusu,lazima utatukanwa tu. Yaani wao hujiona ni malaika,kila wakifanyacho ni kizuri. Ukiongea baya lao watakwambia unatumiwa,duuuuuh........!!.
Mabadiliko hayawezi kupatkana kwa kuwategemea wanasiasa,hasa hawa waliojaa uchu wa madaraka na unafki. Kama watanzania tunataka mabadiliko ya kweli tuingie front kama walivyofanya wamisri,wamorroco na walibya kipindi kile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.