Israel ni taifa lililojengwa kwa vita na vita ndio nyumbani kwao
Hawa watu kama Kuna kima anawaonea huruma anajidanganya
Ndivyo walivyo na hawataacha mpaka watakapoitawala Dunia?
Taifa la Israel halitakaa litulie milele
Wao ni watu wa vita na vita ndio nyumbani kwao mpaka Masihi atakaporudi tena mara ya pili
Kinachowasaidia ni zile akili ziada!
Dini zilikuwepo kitambo mno, na wajinga dini pia walikuwepo
Ulaya, American na mataifa mengine wanazo dini, wameziishi na wanaziishi, na bado wanazo akili
Na taifa lenye watu wenye IQ kubwa siyo China, ni mataifa ambayo wanaamini uwepo wa Mungu
Kipindi Cha nyuma miaka ya 2000+ Mzee wangu alikuwa akinitishia kutonilipia Ada mara TU atakaposikia ninajihusisha na siasa za CCM au kuwa mfuasi,
Nilikuwa naona kama ananinyanyasa sana Mzee wangu, kwa sasa naelewa sana kwa nini Mzee wangu alikuwa akinionya kuhusu CCM
CCM ni zaidi ya kirusi...
Soka na CCM ni mbingu na aridhi
Wakati mashabiki wa CCM wakihitaji kupelekewa maloli ya bule vijijni kimokela huko na mbagala kwa msewe, Boko na Magomeni mapipa ili kuja kujaza viwanja vya Jangwani, Mashabiki wa soka hutoka Mwanza, Arusha, mbeya, kigoma, Kenya, Congo na hata ulaya kwa pesa zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.