Muda wa kifo ukifika hata mgonjwa hufahamu kuwa ni wakati wake wa kufa, na ndiyo maana wengi hutumia muda huo kutoa wosia kwa familia yake.
Magonjwa huibuka mengi mengi tu mara apone.
Mara ugonjwa unaibuka tena, tayari stori za ndugu zinaanza kuwa zingine na dalili ya kukata tamaa kwa ndugu...
Magufuli aachwe,
Kwa uongozi wa kishamba uliopo, Jiwe atabaki Rais Bora kuwahi kutokea nchini
Na kuanza kumuzungumzia Jiwe, ni kutaka kutuondoa kwenye hoja za msingi kuhusu wauwaji wa October 29
zitto junior mkuu, sjawahi kufahamu ni kivipi huwa nakuheshimu kiasi hiki,
Samahani, Trump kanyosha mikono, ina maana vita tayari vimeisha na trump kashindwa?
Ni sawa na kusema....!
Licha kuwa ulinpiga kila pahala na kunilemea ila hukukiponda ponda kichwa, ulipaswa unipige kichwa...!
Kama ndivyo, basi sawa
Hata hivyo vita bado vingali vikiendelea, labda kichwa kitapigwa..?
Wana jamvi hamjamboni?
Kunazo tarifa lukuki zikitokea Iran ya Madale kuwa, Tayari huko vita vya Beberu mkuu na Iran ya wairan wanaouumia ukiachana na wairan wa Miswe, eti viko mwishoni mwishoni kuimalizika huku Iran akiwa ndiye mshindi wa vita kwa kumchakaza Marekani kisawasawa
Swali langu ni...
Huu ndiyo ukweli uliopo
Chawa mpoo!!
2030 au kabla ya hapo, wauwaji wote hamtajitetea, Kila aliyeshiriki kufanya mauwaji au kuhusika kwa namna yoyote Ile, hatakaa salama!
TANZANIA yenye matumaini na Amani, ipo yaja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.