Ki ukweli kabisa, sijisikii uchungu wowote hasa inapotokea kifo Cha viongozi, maana, wao wameshindwa kuzuwia, kukemea utekaji unaoendelea
Kama kifo kwetu kwao ni kawaida tu, Mimi nianzeje kuona si kawaida wakifa wao?
Ikitokea Lissu amekufa kwa dhuluma hizi
Amini usiamini, wapo watu wengi mno ambao watamfuata, watakuwa wakifa pasina hata sababu yoyote!
Masisiem, endeleeni na dhuruma zenu, Mwenyezi Mungu atawashughurikia hamtaamini
Mkuu, licha kwamba Iran kwa sasa hawezi kuanzisha mashambulizi dhidi ya Nchi tukutu Israel
Hata hivyo jaribu kuwa unaweka tarifa zinazoendana na kichwa Cha habari
Mbona kama hujabainisha ni wapi msemaji wa Iran kaitishia Israel?
Unajisahaulisha nini mkuu, Damu ya mtu ukiimwaga, hata ukiwa peke Yako maporini, jisalimisha, unaweza kuwehuka
CCM haitaki kujisalimisha, ndio huo wehu unaanza kuwapata kidogo kidogo, badala wakiri na kuwajibishana, badala yake wanaanza kulana wao kwa wao, Yuko wapi EMMA?
Mpaka sasa mmewala...
Ni lini mlikiri kwamba mlifanya makosa ya makusudi kumwaga damu za Watanganyika
Mpaka sasa, Ni nani amewajibishwa katika Hilo
CCM yote hakuna hata mmoja anayeamini October 29 kulikuwa na mauwaji ya makusudi yaliyosababishwa na Wana CCM
Mnaridhiana na nani sasa anayetambua ujinga huo...
Kwani CCM bila watu Kuna CCM?
Hao watu wa CCM ndio waliohusika kumwaga damu ya Watanzania
CCM kama maneno yanayosomeka hivyo, hayo maneno hayana hatia ndiyo
Una akili ndogo sana
Huko CCM Kuna nini?
Wafuasi wengi kama siyo wote ni mazezeta licha kwamba yamesoma, mbona hamtumii akili zenu?
Tafakari upya kwa hicho ulichokomenti
Viongozi wa dini, ni waonesha njia, najiuliza, kwa sasa wanaonyesha njia Gani ikiwa uovu umetamalaki nchini? Watu wanapotea, wanatekwa na kuuwawa, lakini hatuoni kauli ya pamoja kama viongozi wawakilishi wa uwepo wa Mungu duniani?
Ni KWELI wanaitambua Nafasi Yao iliyowazi kwenye vitabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.