Recent content by mkulimamiwa

  1. M

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga Day | Agosti 9, 2026 | Uwanja wa Uhuru | Yanga 1: 2 Les Aigles Du Congo. Yanga Day yaingia Doa

    Wewe ndio Mimi kabisaa mkuu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wanyonge wa Iran( Waarabu ) hatimaye wapatiwa silaha za kujilinda dhidi ya Iran

    Zimetoka wapi hizo patriot huku zitto junior alisema US kaishiwa
  3. M

    JamiiForums Tanzania Maafisa usafirishaji wa mtandao, maarufu kama bodaboda za mtandao, wamefunga barabara katika eneo la Chuo cha Biashara (CBE) Posta, Jijini Dar es sala

    Tanzania kwa sasa, inakuhitaji uwe mbabe ili upate ridhiki Yako, la sivyo CCM wanakupora Kila unachostahili
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Kwani maiti nazo ziliandamana huko monchwali kiasi Cha kupotezwa tena? CCM nyinyi ni majinga sana
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kama binadamu huamriwa na umri wa kuishi, vivyo hivyo kwa CCM, kipindi rasmi cha kufa ni sasa, hakitaweza kununua uhai wake tena!

    Muda wa kifo ukifika hata mgonjwa hufahamu kuwa ni wakati wake wa kufa, na ndiyo maana wengi hutumia muda huo kutoa wosia kwa familia yake. Magonjwa huibuka mengi mengi tu mara apone. Mara ugonjwa unaibuka tena, tayari stori za ndugu zinaanza kuwa zingine na dalili ya kukata tamaa kwa ndugu...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Meli zikikamatwa na makosa ilionesha zinapeperusha Bendera ya Tanzania. Naona sasa ni zamu ya makahaba huko Thailand kujitambulisha Watanzania

    Wakati mwingine ukiona hivyo, basi ndani ya mti wa matunda, Kuna mijoka na ndiyo maana watu wanaupopoa mawe
  7. M

    JamiiForums Tanzania DOKUMENTARI - Usaliti kwa MAGUFULI Hadi Saa Yake ya Mwisho

    Magufuli aachwe, Kwa uongozi wa kishamba uliopo, Jiwe atabaki Rais Bora kuwahi kutokea nchini Na kuanza kumuzungumzia Jiwe, ni kutaka kutuondoa kwenye hoja za msingi kuhusu wauwaji wa October 29
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kombora Jericho likiandaliwa rasmi tayari kwa kazi huko Iran!!

    zitto junior mkuu, sjawahi kufahamu ni kivipi huwa nakuheshimu kiasi hiki, Samahani, Trump kanyosha mikono, ina maana vita tayari vimeisha na trump kashindwa?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa, Iran katupia missiles ngapi huko Marekani mpaka aelekee kushinda vita,?

    Ni sawa na kusema....! Licha kuwa ulinpiga kila pahala na kunilemea ila hukukiponda ponda kichwa, ulipaswa unipige kichwa...! Kama ndivyo, basi sawa Hata hivyo vita bado vingali vikiendelea, labda kichwa kitapigwa..?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa, Iran katupia missiles ngapi huko Marekani mpaka aelekee kushinda vita,?

    Wana jamvi hamjamboni? Kunazo tarifa lukuki zikitokea Iran ya Madale kuwa, Tayari huko vita vya Beberu mkuu na Iran ya wairan wanaouumia ukiachana na wairan wa Miswe, eti viko mwishoni mwishoni kuimalizika huku Iran akiwa ndiye mshindi wa vita kwa kumchakaza Marekani kisawasawa Swali langu ni...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mabomu ya HIMARS yakirushwa toka Kuwait kuelekea kusini mwa Iran

    Lakini Kuna tarifa kwamba, Marekani kaishiwa silaha mkuu Hizo kazipata wapi tena?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ni kweli CCM ndio inayotawala, ila wanaotawaliwa hawapo isipokuwa kundi la wauwaji pekee na 2030 tutadili nao

    Huu ndiyo ukweli uliopo Chawa mpoo!! 2030 au kabla ya hapo, wauwaji wote hamtajitetea, Kila aliyeshiriki kufanya mauwaji au kuhusika kwa namna yoyote Ile, hatakaa salama! TANZANIA yenye matumaini na Amani, ipo yaja
Back
Top Bottom