Recent content by mkulimamiwa

  1. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Ki ukweli kabisa, sijisikii uchungu wowote hasa inapotokea kifo Cha viongozi, maana, wao wameshindwa kuzuwia, kukemea utekaji unaoendelea Kama kifo kwetu kwao ni kawaida tu, Mimi nianzeje kuona si kawaida wakifa wao?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu adai kuzuiwa kuingia Mahakamani na Tisheti lililoandikwa aliyenusurika Risasi 16

    Ikitokea Lissu amekufa kwa dhuluma hizi Amini usiamini, wapo watu wengi mno ambao watamfuata, watakuwa wakifa pasina hata sababu yoyote! Masisiem, endeleeni na dhuruma zenu, Mwenyezi Mungu atawashughurikia hamtaamini
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kuibuka na kuzama kwa jahazi la Sukuma Gang kwenye medani ya siasa za Tanzania

    Mwandishi, wewe unamaoni Gani Katika dhamira hizo mbili Ni yupi kati ya hao wawili ambaye amekuwa na dhamira njema ya kujenga nchi yetu?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Iran yatishia kuishambulia Israel Je wataweza?

    Mkuu, licha kwamba Iran kwa sasa hawezi kuanzisha mashambulizi dhidi ya Nchi tukutu Israel Hata hivyo jaribu kuwa unaweka tarifa zinazoendana na kichwa Cha habari Mbona kama hujabainisha ni wapi msemaji wa Iran kaitishia Israel?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Swala alionekana anakimbia Kama kichaa!! Tembo akahamaki

    Mkuu, Tulia basi uandike kwa utulivu ili tuelewe unachomaanisha
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Kusukuma Maridhiano ya Kitaifa inawaomba CCT,TEC,BAKWATA waunde Kamati ya suluhu na uapatanisho ili kusaidia juhudi za Maridhiano nchini

    Unajisahaulisha nini mkuu, Damu ya mtu ukiimwaga, hata ukiwa peke Yako maporini, jisalimisha, unaweza kuwehuka CCM haitaki kujisalimisha, ndio huo wehu unaanza kuwapata kidogo kidogo, badala wakiri na kuwajibishana, badala yake wanaanza kulana wao kwa wao, Yuko wapi EMMA? Mpaka sasa mmewala...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Kusukuma Maridhiano ya Kitaifa inawaomba CCT,TEC,BAKWATA waunde Kamati ya suluhu na uapatanisho ili kusaidia juhudi za Maridhiano nchini

    Ni lini mlikiri kwamba mlifanya makosa ya makusudi kumwaga damu za Watanganyika Mpaka sasa, Ni nani amewajibishwa katika Hilo CCM yote hakuna hata mmoja anayeamini October 29 kulikuwa na mauwaji ya makusudi yaliyosababishwa na Wana CCM Mnaridhiana na nani sasa anayetambua ujinga huo...
  8. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kihongosi: Damu ya Watanzania haipo mikononi mwetu CCM, chama hakikuchukua silaha kumdhuru yeyote, Oktoba 29, 2025

    Kwani CCM bila watu Kuna CCM? Hao watu wa CCM ndio waliohusika kumwaga damu ya Watanzania CCM kama maneno yanayosomeka hivyo, hayo maneno hayana hatia ndiyo
  9. M

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Mastermind wa mauaji kapigwa pin kuingia Ulaya

    Una akili ndogo sana Huko CCM Kuna nini? Wafuasi wengi kama siyo wote ni mazezeta licha kwamba yamesoma, mbona hamtumii akili zenu? Tafakari upya kwa hicho ulichokomenti
  10. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Josephat Gwajima: Mungu hachelewi kutimiza ahadi yake. Utekaji umezidi. Maisha ya watu yanaharibika. Mungu atajibu kwa upanga

    Ulaaniwe wewe na kizazi chako Wauwaji wakubwa nyie
  11. M

    JamiiForums Tanzania Utawala wa Iran lazima uangukie Pua Watake was itakaa-Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu!!

    Ni typing error Nilimaanisha, sivyo walivyo mabeberu?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna kiongozi wa dini yeyote aliyeweza kuhubiri haki bila kuyumba kama alivyofanya Lissu

    Mkuu, umeishia darasa la ngapi? Mbona wa darasa la saba miaka hiyo hawako hivi? Mimi ni chawa wa haki mkuu
  13. M

    JamiiForums Tanzania Utawala wa Iran lazima uangukie Pua Watake was itakaa-Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu!!

    Bwana Utam sivyo ulivyo mkuu?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Utawala wa Iran lazima uangukie Pua Watake was itakaa-Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu!!

    Mabeberu siyo makondoo! Beberu akimwamlia yeyote lazima asande
  15. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna kiongozi wa dini yeyote aliyeweza kuhubiri haki bila kuyumba kama alivyofanya Lissu

    Viongozi wa dini, ni waonesha njia, najiuliza, kwa sasa wanaonyesha njia Gani ikiwa uovu umetamalaki nchini? Watu wanapotea, wanatekwa na kuuwawa, lakini hatuoni kauli ya pamoja kama viongozi wawakilishi wa uwepo wa Mungu duniani? Ni KWELI wanaitambua Nafasi Yao iliyowazi kwenye vitabu...
Back
Top Bottom