Prof ni mzaliwa wa CCM amekuwa na kulelewa CCM
Sijui kwa nini hamuamini kuwa Samia anachukiwa na wana CCM na Watanzania kwa ujumla....!
Huyo ni mmoja tu anayejitokeza hadharani akiwakilosha ukweli wa chuki ya wana CCM dhidi ya mpakwa mafuta wa Mwashambwa
Maswali ni mengi kuliko majibu
Mkuu,
kuonekana kwa nadra sio tatizo kwa sababu, kwanza yuko vitani, hasira zote za Iran inapopigwa ama yeye au Trump bado mashambulizi yataelekezwa Israel
Kwa hiyo, yeye kukaa kwa kujificha na kutoonekana mara kwa mara, siyo habari, ni kanuni
Kuhusu kuwepo kwa...
Hii habari ya Kuuwawa kwa Netanyahu, tufute tuanze upya kumsaka
Mbona tulishamdedisha?
Huyu anayekaa na kuwa na press mbalimbali kujidai atawauwa viongozi wetu wenye Iran yao, anatoka wapi?
Nahitaji kufahamishwa,
Au tulipigwa na kitu kizito shabaha yetu ililenga mdoli wa Netanyahu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.