Recent content by mkulimamiwa

  1. M

    JamiiForums Tanzania Israel bado wanaendelea kushambulia Lebanon Leo. Iran wameufyata mkia

    Yetu macho, wote wanaume, mmoja hana Ulinzi wa Anga, mmoja hana uwezo wa kutuma makombora ya moja kwa moja
  2. M

    JamiiForums Tanzania Pamoja na Tishio la Iran kwa Israel isiipige Hezboullah magaidi hao wanapigika tu!!

    Hakuba taifa jeuri na watu jeuri kama Wayahudi
  3. M

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ulinzi wa Israel atoa tamko rasmi 'Hatupangiwi na mtu"-Katz

    Kumekuchaaa!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Makombora mengi ya Iran yashindwa kulipuka

    Doh..!
  5. M

    JamiiForums Tanzania Israel yaendelea kuishambulia Iran. Yataka Vita ianze au iendelee. Yapiga maeneo nyeti ya Kijeshi

    Na ipo siku hata USA atakiona Cha moto kutoka kwa vichwa hao wasioeleweka
  6. M

    JamiiForums Tanzania Israel yaendelea kuishambulia Iran. Yataka Vita ianze au iendelee. Yapiga maeneo nyeti ya Kijeshi

    Ni kama yametunguliwa mkuu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Israel yaendelea kuishambulia Iran. Yataka Vita ianze au iendelee. Yapiga maeneo nyeti ya Kijeshi

    Israel ni taifa lililojengwa kwa vita na vita ndio nyumbani kwao Hawa watu kama Kuna kima anawaonea huruma anajidanganya Ndivyo walivyo na hawataacha mpaka watakapoitawala Dunia?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kundi la Hezbollah ladaiwa kuanza mashambulizi dhidi ya kambi za jeshi la Israel baada ya Iran kusitisha mapigano

    Taifa la Israel halitakaa litulie milele Wao ni watu wa vita na vita ndio nyumbani kwao mpaka Masihi atakaporudi tena mara ya pili Kinachowasaidia ni zile akili ziada!
  9. M

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    Wewe ni mjinga sana yaani Anayeongea huyo prof ni mlokole? Jinga kabisa wewe
  10. M

    JamiiForums Tanzania Leo nimemwona Mwandambo Daah! Mpaka nimelia. Nimesikitika Sana

    Mwandambo....? Labda kule kumtusi na kumdhuhaki YESU..? Ni mawazo yangu tu
  11. M

    JamiiForums Tanzania Marekani yataka mali za Iran zitumike kufidia washirika wake wa Ghuba

    Ni wazo zurii mno hili, hii itafanya Kila taifa linalopenda vita, basi lidili na nchi husika tu
  12. M

    JamiiForums Tanzania China: Marufuku kwa walio chini ya Miaka 18 kushiriki Mambo ya Dini

    Dini zilikuwepo kitambo mno, na wajinga dini pia walikuwepo Ulaya, American na mataifa mengine wanazo dini, wameziishi na wanaziishi, na bado wanazo akili Na taifa lenye watu wenye IQ kubwa siyo China, ni mataifa ambayo wanaamini uwepo wa Mungu
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ninaunga mkono kutumbuliwa kwa kiongozi mwandamizi tuliyedokezwa na mbunge Sumai

    Huna adabu kima wewe, Maono ya Mama...! ya kuuwa watu ndo maono?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Mikutano ya CCM na CHADEMA kwa sasa

    Kipindi Cha nyuma miaka ya 2000+ Mzee wangu alikuwa akinitishia kutonilipia Ada mara TU atakaposikia ninajihusisha na siasa za CCM au kuwa mfuasi, Nilikuwa naona kama ananinyanyasa sana Mzee wangu, kwa sasa naelewa sana kwa nini Mzee wangu alikuwa akinionya kuhusu CCM CCM ni zaidi ya kirusi...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Soka linajitosheleza, halimhitaji mkuu wa mkoa Dar au Rais na hata siasa kwa ujumla ili kupata mashabiki

    Soka na CCM ni mbingu na aridhi Wakati mashabiki wa CCM wakihitaji kupelekewa maloli ya bule vijijni kimokela huko na mbagala kwa msewe, Boko na Magomeni mapipa ili kuja kujaza viwanja vya Jangwani, Mashabiki wa soka hutoka Mwanza, Arusha, mbeya, kigoma, Kenya, Congo na hata ulaya kwa pesa zao...
Back
Top Bottom