Recent content by mkulimamiwa

  1. M

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Pumbavu zake sana huyo chawa wa maccm
  2. M

    Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    kwani Adiosamigo anasemaje?
  3. M

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    Kakukosea nini huyu jamaa boss
  4. M

    Rais wa Ujerumani: Trump ni chanzo cha mpasuko wa Dunia

    Kunanini haswaa katika hii Dunia? Sijawahi kuona lawama Akitupiwa Netanyahu na Israel kwa ujumla Dunia inahofia nini kuhusu taifa la Wayahudi?
  5. M

    Picha: Baada ya Trump kuonesha dalili za kusitisha vita na Iran, Netanyahu aamua kuingia front mwenyewe kuongoza vita

    Wewe so yule wa Kimokela? Wa Kimokela wote wanajua Netanyahu keshauwawa na Kamikaze za Iran
  6. M

    Iran wanafanya kosa lile lile la kudhani Trump ni muoga baada ya kuongeza siku 5, Ayatollah na Maduro walimpuuza alipoongeza muda, kiko wapi?

    Ni ujinga kuamini kuwa, Kuuliwa kwa Ayatollahs na cream yake yote hapo juu si udhaifu mkubwa wa nchi husika!
  7. M

    Swali na ANGALIZO: Je ni mkosoaji huru au ni PROJECT inayopelekwa CHADEMA kimkakati?

    Prof ni mzaliwa wa CCM amekuwa na kulelewa CCM Sijui kwa nini hamuamini kuwa Samia anachukiwa na wana CCM na Watanzania kwa ujumla....! Huyo ni mmoja tu anayejitokeza hadharani akiwakilosha ukweli wa chuki ya wana CCM dhidi ya mpakwa mafuta wa Mwashambwa
  8. M

    Netanyahu kama Trump aomba mataifa duniani yaingie kati kupigana na Iran

    Maswali ni mengi kuliko majibu Mkuu, kuonekana kwa nadra sio tatizo kwa sababu, kwanza yuko vitani, hasira zote za Iran inapopigwa ama yeye au Trump bado mashambulizi yataelekezwa Israel Kwa hiyo, yeye kukaa kwa kujificha na kutoonekana mara kwa mara, siyo habari, ni kanuni Kuhusu kuwepo kwa...
  9. M

    Kwa mjibu wetu sisi Wa Iran weusi wa Tandale, Netanyahu tulishamdedisha, huyu anayeomba uungwaji mkono na mataifa anatokea wapi?

    Hii habari ya Kuuwawa kwa Netanyahu, tufute tuanze upya kumsaka Mbona tulishamdedisha? Huyu anayekaa na kuwa na press mbalimbali kujidai atawauwa viongozi wetu wenye Iran yao, anatoka wapi? Nahitaji kufahamishwa, Au tulipigwa na kitu kizito shabaha yetu ililenga mdoli wa Netanyahu na...
  10. M

    IRGC ilitangaza wimbi la 71 la "Operesheni Iliyoahidiwa Sadiq 4," ikitambulisha mbinu mpya na mifumo ya hali ya juu zaidi

    😁😁 Wewe ni kobazi wa Teheran mweusi kama mkaa, naona upo jikoni mnapanga namna rahisi ya kuifuta Israel siyo? 😁😁
  11. M

    Netanyahu kama Trump aomba mataifa duniani yaingie kati kupigana na Iran

    Kwa mjibu wetu sisi wa Iran wa Kimokela, Netanyahu tulishamdedisha, huyu anayeibuka kuongea ongea ni wa wapi tena?
  12. M

    Trump aipiga mkwara Greenland (Denmark) na NATO kuhusu vita ya Iran. Iran yasema safari hii itailinda NATO

    Vichekesho vikubwa zaidi ni kwa Iran Anawezaje kuwalinda mataifa ya Ulaya ilihali viongozi wake wanapukutika mithili ya nzige
  13. M

    Je huu ndiyo mwisho wa ubabe wa Marekani na kufutwa Mashariki ya kati?

    Mkisha fungulia pombe mnaita Mmaa... ? Hii ni tatizo lingine
  14. M

    Iran imejaribu kushambulia kisiwa cha Diego-Garcia kwenye Kambi za Marekani na Uingereza

    Iran anashindwa nini kumpiga USA moja kwa moja anajisumbua na vijikambi vilivyowekwa nje yake kimitishio na havina impacts yoyote?
Back
Top Bottom