Recent content by Mkulima wa Maharage

  1. Mkulima wa Maharage

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Usafirishaji abiria ya PREMIER LINE from Mbeya to Mwanza gari zao ni mbovu hazifai kuwa barabarani

    Sasa Mkuu.. ww unadhani basi linaweza nifuata Nyumbani kwangu asbh napemaa kwa ajili ya Safar, ? In very normal commom sense inawezekana?..
  2. Mkulima wa Maharage

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Usafirishaji abiria ya PREMIER LINE from Mbeya to Mwanza gari zao ni mbovu hazifai kuwa barabarani

    Afadhari hata ya Brighline kuliko Premier...Brght wana Chuma ambazo ni Current new
  3. Mkulima wa Maharage

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Usafirishaji abiria ya PREMIER LINE from Mbeya to Mwanza gari zao ni mbovu hazifai kuwa barabarani

    Kati ya ww na DUKA la Bidhaa nani huwa anaanza mfuata mwenzake na kwanini?
  4. Mkulima wa Maharage

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Usafirishaji abiria ya PREMIER LINE from Mbeya to Mwanza gari zao ni mbovu hazifai kuwa barabarani

    Asante Mkuu. Ngoja nilifuatilie hili kwa upana wake kwa wakati mwingine wakijjichanganya tu nawajaza kwenye Mfumo
  5. Mkulima wa Maharage

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Usafirishaji abiria ya PREMIER LINE from Mbeya to Mwanza gari zao ni mbovu hazifai kuwa barabarani

    Mkuu; Chombo cha usafill kinatakiwa kuwa katika hali ya Ubora muda wote bila kujalisha gharama kwani wasafili ni Binadama na siyo Mbuzi au Ng'ombe.
  6. Mkulima wa Maharage

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Usafirishaji abiria ya PREMIER LINE from Mbeya to Mwanza gari zao ni mbovu hazifai kuwa barabarani

    Kichwa cha habari hapo juu chajieleza. Nimekuwa nikiitumia Basi hii mara kadhaa kutokana na unafuu wa Gharama za nauli pamoja na urahisi wa kukata ticket kwa njia ya mtandao. Pamoja na matukio mengine niliyowahi kutana nayo na Basi ya Premier line; siku ya Tar 31.7 nikitokea Mbeya Gari ilikuwa...
  7. Mkulima wa Maharage

    JamiiForums Tanzania Nchi ya ovyo, viongozi wateule hata wakiulizwa salamu tu lazima wamshukuru na kumsifia Samia

    Namshukuru sana Mheshimiwa Samia naona Leo Mvua imenyesha hapa Mbeya.
  8. Mkulima wa Maharage

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kampuni ya Sunranch ni halali au ni utapeli mwingine?

    Fafanua vizuri Mkuu maana Nimelima maharage hapa na nimevuna Debe 5 naweza uza debe 5 zote nijilishe huyo Nyoka
Back
Top Bottom