Recent content by mkulima.mfugaji

  1. M

    Fahamu virefu vya baadhi ya maneno yaliyofupishwa

    Wcb - wasafi classic Boutique .... Not wasafi classic baby
  2. M

    Fahamu virefu vya baadhi ya maneno yaliyofupishwa

    Sio kweli...hiyo official hakuna
  3. M

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Niko safarini, nikirudi nitapiga picha nitaweka.
  4. M

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Wakuu ninauza Nguruwe wa saizi zote, kuanzia Mtoto wa miezi mitatu hadi nguruwe mkubwa mwenye Mimba...mbegu ni large white. Bei ya kawaida sana, kuanzia 45,000/=....shamba lipo kigamboni karibuni sana 0688407542
  5. M

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Ndo matatizo ya kuzoea kuwalipa waandishi wa habari ili habari zenu ziandikwe...ivi unadhani kila mtu anayepata coverage kwenye media kalipia?slaa hata angeenda kijijini Nanjilinji, akasema anataka kuongea na vyombo vya habari, hakika media zote zingeenda.
  6. M

    Serious: Wapi nitapata water pump zinazotumia solar power?

    Mimi natumia mfumo huo shambani kwangu. It is bit expensive but it worth it. PM me
  7. M

    CHADEMA ni Vigeugeu, Wasaka tonge, Opportunists, double standard

    Dah, SISIEM wapo na mkakati sana. Mwaka huu uchaguzi ni CCM vs CCM na mshindi atakuwa CCM....huwezi kumtenganisha EL na SISIEM, this man has got a mission to acomplish...poor U-K-A-W-A
  8. M

    Edward Lowassa na Wanaomzunguka

    Kwa mara nyingine tena avatar imeakisi akili halisi ya muhusika
  9. M

    Natafuta mbegu ya Samaki (Perege) na Kambale

    Tembelea wizara ya kilimo,ucuvi na mifugo pale vetenali Temeke, utapata ushauri poa sana
Back
Top Bottom