Wakuu ninauza Nguruwe wa saizi zote, kuanzia Mtoto wa miezi mitatu hadi nguruwe mkubwa mwenye Mimba...mbegu ni large white. Bei ya kawaida sana, kuanzia 45,000/=....shamba lipo kigamboni karibuni sana
0688407542
Ndo matatizo ya kuzoea kuwalipa waandishi wa habari ili habari zenu ziandikwe...ivi unadhani kila mtu anayepata coverage kwenye media kalipia?slaa hata angeenda kijijini Nanjilinji, akasema anataka kuongea na vyombo vya habari, hakika media zote zingeenda.
Dah, SISIEM wapo na mkakati sana. Mwaka huu uchaguzi ni CCM vs CCM na mshindi atakuwa CCM....huwezi kumtenganisha EL na SISIEM, this man has got a mission to acomplish...poor U-K-A-W-A
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.