Siku zote Aina ya ubongo wa mtu kama,ni konokono,ama mavi ya kale,ama viwavi,ana udongo mfinyanzi nk nk,ni maneno tu yamtokayo, Hapa ubongo huu umewakilisha mavi mabichi...
Ukweli uliomchungu, vyeti kitu gani Bon, Kuna watu wanavyeti wala hawana ajira wameamua kulima na ujasiliamali siku znaenda, Simamia unachoamini ,Mtu duniani ni Story "utakua Story mbele ya mabalaza ya haki siku za mbele." Ndivo dunia inataka. WEWE SHULE ilikukomboa kikweli kweli ,misimamo hii...
Mwalimu aliuza Rasilimali z nchi? Kuna gesi Mtwara mlipiga wananchi mkavunja viuongo wakitaka Masilahi mapana ya gesi, huku mkilaghai eti gesi itashusha gharama ya maisha na umeme .Mkapeleka mkataba bungeni wa kuuza gesi kwa Wageni kwa hati ya dharula, leo Gesi inatufaidisha nini??
Mumenda sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.