Katika chaguzi ndogo zilizopita Mbowe na Chadema yake waliwahi kujitoa kushiriki katika uchaguzi mdogo na uliofuata walirejea tena na kushiriki uchaguzi wa Buyungu na juzi wa Ukonga na Monduli.
Wakati alipotangaza kususia alitoa madai kuwa uchaguzi haukuwa huru na wa haki na kuwabebesha mzigo...
Waambie hao wanasheria wa Kimataifa waendelee na kuuza maduka ya supermarket huko waliko na hao unaowaita wadau wako inaonekana mmekosa kaz ya kufanya.Mi nakushauri uwaambie hao waliokutuma mwende mkamsaidie Mbowe kujenga chama alinde ruzuku zake coz mnaonekana mnaingilia kaz za watu ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.