Recent content by mkufunzi wa zamu

  1. M

    Nasumbuliwa sana na issue ya kuwashwa kwenye Korodani

    Sasa nisivae boxer hata kazini mzee?
  2. M

    Nasumbuliwa sana na issue ya kuwashwa kwenye Korodani

    Hahahah hiyo kitu ilitusumbua sana Advance ila sio huku utu uziman bhana
  3. M

    Nasumbuliwa sana na issue ya kuwashwa kwenye Korodani

    Wakuu naombeni msaada kwenye tuta hapa. Nasumbuliwa sana na issue ya kuwashwa kwenye Korodani na halii hii hutokea ninapokuwa nimekaa mahali muda mrefu, nikiinuka tu naanza kusikia kuwashwa na huwa natamani kukaa kama kitandani hivi kisha nivue nguo zote nijikune sana. Huwa najikuna sana mpaka...
  4. M

    Beatification of Lowassa starts here

    hakuna ukweli wowote kuwa TB Joshua alimtabiria Lowasa kuwa raisi maana watu tunaangalia Live services kila juma pili na Lowasa mara zote akienda tunamwona na wote waliopokea Prophecy walipewa hadharani sasa hyo mnayosema ya Lowasa kutabiriwa ilitoka wap.... mbona haikufanyika hadharan...
  5. M

    Msaada dawa ya nguvu za kiume.

    haha kua serious man... naihitaj sana hyo kitu...
  6. M

    Msaada dawa ya nguvu za kiume.

    yaan naomba mnisaidie namna ya kuichanganya pamoja na matumizi kwa siku asanten.
  7. M

    Msaada dawa ya nguvu za kiume.

    wakuu habarini za muda huu... Kuna dawa naiskia sana ya nguv za kiume ambayo n mchanganyiko wa asali mdalasin na kitunguu swaumu. Je dawa hii inatumukaje?
  8. M

    Upungufu wa Nguvu za kiume

    Wakuu habari za sahizi Nna shida ya nguvu za kiume wana jamvi nafkiri kuna doc anaeweza kunsaidia katika hili au mtu yeyote anaefahamu maswala haya. Tatizo ni kuwa nna wahi sana kufika kileleni hvyo nashindwa kumridhisha mpenz wang na pia nkishamalza round ya kwanza inachukua muda mrefu...
Back
Top Bottom