mkufunzi wa zamu
Member
- Sep 6, 2014
- 9
- 0
Wakuu naombeni msaada kwenye tuta hapa. Nasumbuliwa sana na issue ya kuwashwa kwenye Korodani na halii hii hutokea ninapokuwa nimekaa mahali muda mrefu, nikiinuka tu naanza kusikia kuwashwa na huwa natamani kukaa kama kitandani hivi kisha nivue nguo zote nijikune sana.
Huwa najikuna sana mpaka sometimes nachubuka (nadhani kutokana na ulaini wa ngozi ya korodani). Hali hii nimekaa nayo kwa muda mrefu sana na ukweli ni kwamba nikiwashwa namna hiyo nikijikuna nasikia raha sana. Ila sasa naona ni tatizo maana najificha ficha sana mpenzi wangu asinione nikiwa najikuna kila saa akahisi nina tatizo.
Halii hii nilidhani labda inatokana na uchafu lakini hata siku ninazoshinda nyumbani naoga mpaka mara 3 kwa siku lakini bado. Nikaamua sasahvi huwa napasi boxer kabla sijaivaa na sikai na boxer moja masaa 24, yaani nabadilisha boxer mara 2 kwa siku lakini bado.
Nikiwa na nywele ndefu nawashwa lakini hata nikiwa na nywele fupi pia bado kuna washa tu. Wakati nasoma Advance niliona watu wengi wakiwa wanajikuna korodani sana nikajua ni hali ya kawaida kwa wanaume ila sasa naona kama imekuwa sugu kwangu. MSAADA TAFADHALI NITAADHIRIKA NDUGU YENU.
Huwa najikuna sana mpaka sometimes nachubuka (nadhani kutokana na ulaini wa ngozi ya korodani). Hali hii nimekaa nayo kwa muda mrefu sana na ukweli ni kwamba nikiwashwa namna hiyo nikijikuna nasikia raha sana. Ila sasa naona ni tatizo maana najificha ficha sana mpenzi wangu asinione nikiwa najikuna kila saa akahisi nina tatizo.
Halii hii nilidhani labda inatokana na uchafu lakini hata siku ninazoshinda nyumbani naoga mpaka mara 3 kwa siku lakini bado. Nikaamua sasahvi huwa napasi boxer kabla sijaivaa na sikai na boxer moja masaa 24, yaani nabadilisha boxer mara 2 kwa siku lakini bado.
Nikiwa na nywele ndefu nawashwa lakini hata nikiwa na nywele fupi pia bado kuna washa tu. Wakati nasoma Advance niliona watu wengi wakiwa wanajikuna korodani sana nikajua ni hali ya kawaida kwa wanaume ila sasa naona kama imekuwa sugu kwangu. MSAADA TAFADHALI NITAADHIRIKA NDUGU YENU.