We hujaelewa tu, Wezi hapo polisi sio huyo mzee, hapo mzee ni dalali wa wezi tu. Kwani polisi hakuna kesi ya wizi wa kuaminiwa?? kwanini wasikufungulie jalada !!? Sasa wewe nenda kampasue huyo mzee yaishe ili yeye ndio aanze kukutafuta hiyo laki tano akajitibie, hakikisha unampasua kiasi kwamba...
Watu wameshakuwa adicted. Tena wanaoendekeza mchezo huu ni wasanii, wao badala ya kudumisha utamaduni wetu wanakuwa mstari wa mbele kufata tamaduni za watu, inahitaji nguvu ya ziada kuwaelimisha watu katika hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.