Recent content by mkude. simba

  1. M

    Soma hapa Kitabu cha January Makamba na Tanzania Mpya

    tukitaka maendeleo ya kasi na sawia na tukitaka biashara ishamiri katika maeneo yote nchini lazima tuitazame na tuishughulikie miundombinu ya usafirishaji nchini kama mfumo mmoja bandari za bahari na maziwa, reli, barabara na usafiri wa anga. Mipango mizuri, tatizo ni katika kugharamia...
  2. M

    January Makamba: Viongozi wa dini ombeni tupate viongozi bora,siyo wala rushwa na mafisadi

    ni kweli wapo wanadini ambao si waadilifu,ila wengi wao ni waadilifu sana na wapenda haki,kwahiyo siyo wote...wee umesikia kuna sheikh yeyote ametajwa kuhusu rushwa?
  3. M

    January Makamba: Viongozi wa dini ombeni tupate viongozi bora,siyo wala rushwa na mafisadi

    kingunge nae si mweu tu kwanza ameishajiishia anasubiri kwenda kuzimu tu anajua nini huyo mzee,shule yenyewe hakuna zaidi ya kulingia uzoefu tu walelewa kwenye siasa za enzi hizo.
  4. M

    Wasomi waiponda PAC, wataka tume huru

    Ugomvi binafsi, wivu na vita kati ya vyama vya siasa vinatawala zaidi kuliko sheria, kanuni na taratibu. Hata kama escrow kweli ingekuwa watu wameiba Fedha -bado ushughulikiaji wa watu waliohusika nao unatakiwa kufuata Katiba -ya nchi, sheria na taratibu za nchi na sio matakwa ya watu...
  5. M

    Wasomi waiponda PAC, wataka tume huru

    KIKWETE USIWASIKILIZE -'BUSH LAWYER' KATIKA ESCROW Na Happiness Katabazi IBARA -ya 37(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 , inasema hivi: ' Mbali na kuzingatia Masharti yaliyomo katika Katiba -hii, na Sheria za Jamhuri ya Muungano -Katika Utendaji -wa kazi -na...
  6. M

    Wasomi waiponda PAC, wataka tume huru

    Muhongo kwa sababau tu tangu kuingia kwake ofisini ameziba mianya ya uchotwaji mkubwa wa pesa za watanzania kupitia sekta ya madini, na sasa mabepari wameungana na wabunge wenye husda kupambana dhidi ya kweli na haki anayosimamia Muhongo. Kumpoteza Muhongo kwa sababu tu yeye na Katibu mkuu...
  7. M

    January Makamba: Waliochota fedha za ESCROW wabanwe zaidi

    ngoja tusubiri mkuu wa kaya atasemaje kuhusu escrow...ila kwa january makamba ni sahihi kuongea chochote kuhusiana na sakata la escrow maana hatukumsikia bungeni either hakupata muda au fursa ya kuhongerea hilo.
  8. M

    January Makamba: Waliochota fedha za ESCROW wabanwe zaidi

    january makamba ndio kiboko yao 2015.mawazo mapya,fikra mpya na malengo mapya.vijana ndio nguvu kazi ya taifa.tumuunge mkono kijana mwenzetu vijana na tujitokeze kwa wingi kugombea nafasi mbali mbali ktk nchi yetu,wazee wabaki kuwa washauri wetu tu nao wakapumzike.
Back
Top Bottom