kwa sasa jamani mambo yakoje mbona hakuna uhamisho,hii inakatisha tamaa sana mbona kama tunarudi nyuma miaka ya mwalimu,yaani hata uhamisho wa kubadilishana vituo unakuwa ishu?Mambo gani haya waacheni watu wahame,mishahara haijapanda,ajira hakuna hata uhamisho nao tabu?nachoka kabisa na kukata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.