Recent content by mksimba

  1. M

    Tabia hizi katika Supermarkets zinaboa

    sio supermakert tu hiyo tabia ya kutorudsha chenji ipo pale kigongo ferry.hasa wanapoana watu wengi wapo ktk mstari na ferry inakaribia kuondka.ukitoa 500 unaambiwa 100 hawana inabidi uache.kwasababu watu ni wengi nawe unaharaka.ni afadhali serikali iongeze iwe 500.kulkoni wajanja wachache...
  2. M

    Daku: Kupiga ngoma usiku kunasababisha usumbufu kwa watu

    Uislam una sheria zake.hakuna mahali popote ktk Qurain ilipo andkwa kula daku ni mpka kuamshwa kwa ngoma.huo ni uzushi
Back
Top Bottom