Yote yanawezekana, na pengine upo sahihi. Ninadhani kama nitajibu kimsingi kwanini kununua ndege
Unacheua kunde na makande ya kwenu Utindigani ukitarajia visheti na hanjumati kutoka kwangu!?
Bila shaka, upo sahihi kabisa. Suala sio kazi gani mtu alifanya kupata riziki yake ya kila siku. Niwie radhi kwa hili. Yumkini, Slim amefanya ulaghai kudanganya umma na kwa kupitia vyombo vya habari akijitanabaisha kwa Norway akifanya kazi za ujenzi na shughuli hizo ndizo zilizompatia mitaji...
Nipe mji, Mkuu!
Slim siyo muwekezaji. Slim tapeli na hoteli ilikuwa chaka la kuficha pesa nyingine chafu. Vyema anyamaze, atulie tuli. Kuna mengi ambayo yakifukuliwa atajuta juto la Bashite: mdomo juu!
Ndiyo huyo-huyo. Ghafla hapa anaitwa muwekezaji na Norway eti alikuwa anafanya kazi za ujenzi! Slim huyu aliyejilipua Norway kama mkimbizi m-Ethiopia Mwaka 1987. Baada ya kuosha-osha wazee nyumba za malezi Oslo na kutoroka na mikopo ya benki (DnB) leo hapa anajiita "muwekezaji" na Benki Kuu...
Please tell those jokers, if this is the reason to arrest Maxence Mello, then more dirt is about to bubble up about your phoney Katibu Mkuu Foreign Department. Be still, and know.
Dkt Aziz Mlima (aka Alfred Ponary), raia wa Sweden. Aanze kwa kujipunguza mwenyewe. Bila kumsahau mdogo wake aliyeajiriwa kimagumashi pale Ubalozini Washington.
Taarifa kutoka kikao cha Baraza la Madiwani, zimetonya kwamba kuna ubadhirifu wa kutisha Halmashauri ya Pangani. Miongoni mwa maeneo ambayo yametajwa ni pamoja na Mradi wa Maji uliofadhiliwa na Benki ya Duni ambapo Shilingi 800 milioni hazieleweki zimetumika-tumikaje mpaka sasa. Mwenyekiti wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.