Recent content by mkongoman leo

  1. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Serikali iombe radhi kwa kosa gani? Yale hayakuwa maandamano ni ghasia

    Kusameheana kwa yaliyotokea ikwemo mauaji au ulemavu kwa wasiokuwa kwenye ghasia au maandamano. Hili ni muhimu
  2. M

    JamiiForums Tanzania uchambuzi wa press ya Fr. Kitima/TEC: Kiongozi anapo apishwa lazima tumtii. Hata kama alipindua serikali? Hata kama aliiba kura in a bright day light?

    Kitima na TEC waliangalia suala la madaraka na utii kwa jicho la LEGAL LEGITIMACY lakini pia KIIMANI Perspective kwa kupitia kuapishwa tu na siyo KISIASA ( POLITICAL LEGITIMACY )kupitia kura za wananchi katika kupata madaraka. Na hapa mtu anapaswa kuwa makini kuchanganya na Theological...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mange Kimambi: kuna mpango wa kugawa CHADEMA utakaohusisha viongozi wakubwa wa CHADEMA, unapangwa na kuratibiwa na wanaCCM. Chama kipya?

    Kwa mazingira ya kisiasa ya sasa na mindset za wananchi ni vigumu kuiua CDM tena ni chama kilichobebwa na wananchi na siyo viongozi. Udhaifu na ufisadi wa CCM ndiyo uimara wa CDM hakuna namna
  4. M

    JamiiForums Tanzania Unadhani ni kwanini wasomi wengi nchini Tanzania, husita kujiunga na vyama vya siasa vya upinzani?

    Fursa nyingi chama tawala km vyeo, mikopo,elimu zaidi, safari nje nchi na marupurupu, ubunge,uhuru wa kufanya unachotaka,usalama na ushawishi
  5. M

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Mfumo mpya wa ulipaji wa forodha, T - CAMS unahusishwa na familia ya Samia

    Hivi Mapato ya tiketi za SGS zinakwenda wapi? sijaona tenda yake. nijuzwe
  6. M

    JamiiForums Tanzania Odero: Heche hutaki maridhiano, acha kusingizia Lissu kuwa huru

    Hivi Odero bado ni mwanachama wa CDM?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Tumkomoeni Heche

    Chadema wawe makini sana kwa sasa CCM wamerudi kwenye mkakati wa siasa za kupiga propoganda badala ya kuteka na kumtumia msajiri ambako kimsingi walichukiwa na wananchi,hili la propoganda ndiyo siasa yenyewe,CDM wawe makini sana na CCM wako vizuri pia kwenye hili na nyenzo za propoganda wanazo...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Heche angekuwa na maadili ya mashaka kwa moto alioupeleka angechukua ma BILLION ya chama fulani muda mrefu alisema, na akatulia siyo pesa za michango ambazo ni kiduchu na zina risk. Walipeleka mabilioni kwake na kwa Lissu ikashinrikana muda mrefu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Hata kama walichangia yeye binafsi kwa jitihada zake binafsi za kuongoza vyema mapambano kuna tatixo gani chama kinacho zingatia majungu kuhusu kiongozi wake kitakuwa unethical and un proffessional party,leteni ushahidi wa awali preliminary invedtigation ifanyike siyo talala tu.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Lema umeamua kuwasaidia CCM kwenye propaganda ya kukigawa chama?

    Lema alikuwa nyuma ya Lissu na Heche kimkakati baada ya Uchaguzi ili kukizamisha chama arudi TLP au Chaumma hataweza kwa CDM ni kubwa kuliko mtu.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Siku 5 za Marathon ya CHADEMA Tsh. Milioni 70 zachangwa

    Maomba waimarishe vyanzo vingine vya mapato kama bile Kadi za yanachama,ti shirt nk. wafanye ubunifu endelevu wa kkmapato
  12. M

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Simbachawene.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Brenda: Mwenye malalamiko dhidi ya Heche awasilishe kwenye chama, tupo tayari kuchukua hatua

    Formal charges goes along with formal submission of complaints by complainants and preminary investigation on the evidences
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ashura Masoud: Tuhuma za Heche kula pesa hazina ukweli, hahusiki na fedha za CHADEMA

    Na hata kama amekula fedha nje ya mfumo rasmi wa chama. Hana makosa,watu wasiokoteze makosa ya kumwadhibu CDM kuweni macho.
Back
Top Bottom