Kitima na TEC waliangalia suala la madaraka na utii kwa jicho la LEGAL LEGITIMACY lakini pia KIIMANI Perspective kwa kupitia kuapishwa tu na siyo KISIASA ( POLITICAL LEGITIMACY )kupitia kura za wananchi katika kupata madaraka. Na hapa mtu anapaswa kuwa makini kuchanganya na Theological...
Kwa mazingira ya kisiasa ya sasa na mindset za wananchi ni vigumu kuiua CDM tena ni chama kilichobebwa na wananchi na siyo viongozi. Udhaifu na ufisadi wa CCM ndiyo uimara wa CDM hakuna namna
Chadema wawe makini sana kwa sasa CCM wamerudi kwenye mkakati wa siasa za kupiga propoganda badala ya kuteka na kumtumia msajiri ambako kimsingi walichukiwa na wananchi,hili la propoganda ndiyo siasa yenyewe,CDM wawe makini sana na CCM wako vizuri pia kwenye hili na nyenzo za propoganda wanazo...
Heche angekuwa na maadili ya mashaka kwa moto alioupeleka angechukua ma BILLION ya chama fulani muda mrefu alisema, na akatulia siyo pesa za michango ambazo ni kiduchu na zina risk. Walipeleka mabilioni kwake na kwa Lissu ikashinrikana muda mrefu
Hata kama walichangia yeye binafsi kwa jitihada zake binafsi za kuongoza vyema mapambano kuna tatixo gani chama kinacho zingatia majungu kuhusu kiongozi wake kitakuwa unethical and un proffessional party,leteni ushahidi wa awali preliminary invedtigation ifanyike siyo talala tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.