Recent content by mkongoman leo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mawakili wa Serikali Kutumia Nguvu Kubwa Kuhoji Michango ya TONETONE Kwenye Kesi ya Uhaini ni Kuonyesha Udhaifu wa Prosecution side

    CRDB TUIHAME NI WA HATARI KAMA WANA DISCLOSE INFORMATION KWA MTEJA AMBAYE HASHITAKIWI. Hata kama ni Lema basi naye ni nabii wa uongo.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ndugu wa LISSU, akiri , kumbe LEMA na MBOWE ndio walikua wanamtembelea LISSU Usiku kumshawishi akubali MARIDHIANO!!.

    Hakuna kitu bora na chenye thamani CDM walifanya kumchagua Lissu na Heche historia itawakumbuka Tanganyika. Musiba alisema na kuwaonya CCM baada ya hawa wawili kushinda wameleta chachu sana. Mali binafsi za Heche ni kitu ndogo sana as compared na Mbowe na Lema au kwenye CCM wanachofanya ni...
  3. M

    JamiiForums Tanzania By any stretch of imagination, hakuna cross examination ambayo mpaka sasa imefanikiwa to implicate Lisu with treason accusations facing him!

    Chadema ni mpango wa Mungu CCM ana kazi kubwa so long cdm wametangulia kwenye support ya wananchi ambao wanajua kila kitu. CDM hakuna mwenye uchafu kulinganisha na upamde fulani.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Walioenda kumtisha Lissu ni Nani? Maana Lissu aliwahi kusema kuna watu walikua wanaenda usiku je ni hao?

    mimi sijawahi kuwa na imani na Lema angewafuata wenzke CHADEMA
  5. M

    JamiiForums Tanzania LEMA waambie Wanagenge wenzio wanufaika wa Pesa za Kimama, Acheni Mara Moja huo mchezo, Watanzania Hawatawasamehe, LISSU hatowasamehe !!

    PESA NA MCHAGA DIZAINI YA LEMA NI HATARI. CHADEMA NI YA WANANCHI HAWATAWEZA, WATAONDOKA WAO. MBAYA SANA
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Nchimbi mpaka leo hajaenda kizimkazi kutoa pole

    CDM watakula pesa za kwenda kutoa pole. Ni fursa kwao.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema muombe radhi Paul Makonda

    Tatizo langu na lema hakutumwa yeye, alichokifanya ni insubordation tu kwa mamlaka za juu yake
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mimi bado sijaona chama mbadala cha kuiongoza nchi tofauti na CCM

    Shida vyama vya upinzani haviachwi vikue na kuimarika,mifumo,dola na mamlaka zinavibana. Havipewi nafasi na mazingira rafiki kwa ustawi wao
  9. M

    JamiiForums Tanzania Bifu la kisiasa baina ya team Lema dhidi ya team Heche, nani hasa ni changamoto baina ya mafahali hawa wawili ndani ya CHADEMA?

    jambo kubwa kwa sasa ni Lissu kutoka gerezani mengine ni propoganda tu.
  10. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanapaswa kujifakari

    Maridhiano ndiyo suluhisho la haya yote.Mpasuko wa kisiasa na kijamii unatutesa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Lema ana malengo gani na CHADEMA? Matendo yake yanatia wasiwasi

    Lengo la Chadema ni kushika DOLA siyo kupasha joto, labda CHAUMMA
  12. M

    JamiiForums Tanzania Lema ana malengo gani na CHADEMA? Matendo yake yanatia wasiwasi

    Kwani Lema ni nani anajichoresha tu. Busara imefikia kikomo upande wake.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Heche ndio msaliti wa chadema

    Imefahamika LEMA alibaki chadema kwa malengo ya kuibomoa bora angeenda CHAUMA mapema, ana wivu mno na Wenzake,kujiona yeye ana uwezo zaidi ya wote.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Heche ndio msaliti wa chadema

    Sema tatizo la Lema siyo mtu.wa Team Work atawabomoa,hachagui maneno ya kusema hususani kipindi hiki kigumu.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Heche ndio msaliti wa chadema

    Kwani Lema ndiye aliambiwa azipeleke salamu au ni kimbelembele chake. kila kitu kina itifaki yake, Lema atasumbua sana Chadema kama alivyofanya.Mbowe. Kuweni macho na hawa Makapi ya CCM
Back
Top Bottom