Hakuna kitu bora na chenye thamani CDM walifanya kumchagua Lissu na Heche historia itawakumbuka Tanganyika. Musiba alisema na kuwaonya CCM baada ya hawa wawili kushinda wameleta chachu sana. Mali binafsi za Heche ni kitu ndogo sana as compared na Mbowe na Lema au kwenye CCM wanachofanya ni...
Chadema ni mpango wa Mungu CCM ana kazi kubwa so long cdm wametangulia kwenye support ya wananchi ambao wanajua kila kitu. CDM hakuna mwenye uchafu kulinganisha na upamde fulani.
Kwani Lema ndiye aliambiwa azipeleke salamu au ni kimbelembele chake. kila kitu kina itifaki yake, Lema atasumbua sana Chadema kama alivyofanya.Mbowe. Kuweni macho na hawa Makapi ya CCM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.