Hahaa..mkuu MziziMkavu kweli sikutoa Like ila nilisema ahsante....unajua wengine tunashift mara simu mara desktop ndugu yangu.....nimeshakupatia like za kutosha mkubwa wa kazi
Kama mada inavyojieleza...hivi mtu mwenye premature ejaculation anaweza kumpa mwanamke ujauzito??....na je kama ni kweli huyo mtoto atakayezaliwa hatakuwa na mapungufu??... MziziMkavu na wataalamu wengine wa jukwaa nawasilisha kwenu
Mkuu Mzizikavu hapo unanitangazia biashara,umeshindwa kunielewa...hizo mambo zote ulizoandika hazisaidii kwani nimeacha huo mchezo huu mwaka wa 4 sasa....naapa kwa mungu wangu at this age of 23 sitotumia dawa ya aina yoyote ile iwe ya hospitali au ya kienyeji......only asked kama hii njia ni...
Habari zenu wakuu,nilikuwa naomba mnisaidie mawazo yenu ili kujua kama hivi navyofanya ni sahihi au natwanga maji kwenye kinu..??....
Ni hivi,tangu niko darasa la 6 nilianza kujihusisha na kujichua yaani masturbation,ilifikia kipindi nikawa addicted,mpaka kufikia kidato cha kwanza nilishaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.