Habari zenu wakuu,nilikuwa naomba mnisaidie mawazo yenu ili kujua kama hivi navyofanya ni sahihi au natwanga maji kwenye kinu..??....
Ni hivi,tangu niko darasa la 6 nilianza kujihusisha na kujichua yaani masturbation,ilifikia kipindi nikawa addicted,mpaka kufikia kidato cha kwanza nilishaanza...