Hata vyombo vya habari vinahitaji chama makini kuing'oa CCM na sheria zao kandamizi. wataunga vipi mkono wasaliti waliowekwa na CCM ili kuvuruga upinzani?
Lengo kuu la ACT -Tanzania walijigeuza Wazalendo ni kupambana na CHADEMA. ndio maana wanavuna wanachama toka CHADEMA, lakini bahati mbaya wanavuna makapi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.