magu cdm
Member
- Mar 18, 2015
- 60
- 15
katika hali ya kushangaza wananchi wa jimbo la bahi mkoa wa Dodoma wamewaomba viongozi wa mkoa kuhakikisha wanaleta jina la mbunge anayeweza kuwasaidia maana mpango wa kuchaguwa mbunge wa ccm mwaka huu haupo , tunataka chadema tunataka tundu lissu wetu na sisi Tanzania nzima hakuna mtu asiye lijuwa jimbo la lissu hayo ni maneno ya mzee moja katika kijiji cha makanda mzee alizidi kusema hapa kijijini tunaye kijana mpigania yaki wa muda mrefu anatusaidiya sana tunaomba sana viongoz tuleteni mtu ambaye atasababisha bahi tusikike bungeni na kupingania maendeleo ya bahi jimbo la bahi lina watia nia wane moja wahao ni Mathias Lyamunda katika mkutano huu watu walihamasika sana kujiandikisha ili watimize ahadi yao.uongozi wa chadema mkoa wa Dodoma upo katika operation maarumu katika majimbo yake wote tisa