Recent content by mkolintho

  1. M

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Mzee Mwinyi inabidi yafundishwe kizazi hadi kizazi

    Ulizia UDSM, UCLAS, Sokoine nk 1990s kumbe wewe kijana wa juzi .. !
  2. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom wawajibishwe kukosekana huduma zao kuanzia saa 4:30 hadi saa 8:00 usiku, siku ya jana, Kahama

    Kwenye huo uzi wa birthday party nyumbani kwake NY, mleta mada Rashidi Jololo alinena kama hivi: BIla shaka akiwa kwenye kumnukuu huyo mnene mzaliwa was mujini.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom wawajibishwe kukosekana huduma zao kuanzia saa 4:30 hadi saa 8:00 usiku, siku ya jana, Kahama

    Na kumewekwa angalizo mle BIla shaka tokea kwake: "NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba." Kwamba yeye ana pesa Kwa sababu amechapa sana kazi. Ya kuwa "hakuna njia ya mkato kukuleteeni...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom wawajibishwe kukosekana huduma zao kuanzia saa 4:30 hadi saa 8:00 usiku, siku ya jana, Kahama

    Palikuwa na habari hii: Ng'ambo za NY Huko: https://www.jamiiforums.com/threads/waziri-uweso-akisherehekea-birthday-yake-nyumbani-kwa-jk-hapa-new-york-marekani.2079187/ Kweli ni hatari si kidogo!
  5. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom wawajibishwe kukosekana huduma zao kuanzia saa 4:30 hadi saa 8:00 usiku, siku ya jana, Kahama

    Ya kuwa ndiyo kwanza anaanza kama teenager siyo? Sawa. Wacha tuone. Labda mwenzetu atazikwa nazo.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom wawajibishwe kukosekana huduma zao kuanzia saa 4:30 hadi saa 8:00 usiku, siku ya jana, Kahama

    Kweli tajiri kuingia mbinguni ni heri ya Ngamia kupita kwenye Tundu la sindano. X president JK Bado hajashiba pesa TU?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom wawajibishwe kukosekana huduma zao kuanzia saa 4:30 hadi saa 8:00 usiku, siku ya jana, Kahama

    Hii ni Kwa Africa TU. Siyo kuliko staarabika.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom wawajibishwe kukosekana huduma zao kuanzia saa 4:30 hadi saa 8:00 usiku, siku ya jana, Kahama

    Bandari na wote wenye kutuchukulia poa haitusimamishi kukomaa nao wote sambamba. Unyonge huu hadi lini? vodacom wametukosea sana Kwa kutuweka hatarini kwa kutuzimia huduma tulizolipia tena kinyume cha makubaliano. Nzengoni kwetu huratibu usalama wetu kwa kujuliana Hali kidijitali. Kulikoni...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom wawajibishwe kukosekana huduma zao kuanzia saa 4:30 hadi saa 8:00 usiku, siku ya jana, Kahama

    Kwenu: vodacom: Ninaandika kutokea Kahama mji wa dhahabu baada ya kuwa nimechukua muda kujiridhisha na wateja wengine. Mji huu japo mdogo wenye kupewa hadhi ya ghiliba kama manispaa una miundombinu mibaya kabisa kuliko Chato au labda kuliko wilaya nyingi hapa nchini zisizokuwa na hadhi kama...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mchungaji wa kanisa la Wasabato Kahama na familia yake wasoteshwa rumande kwa kesi ya dawa za kulevya

    Wengine ni vijana wameanza kazi baada ya jiwe kufariki. Hao nao utasema namna gani mwana harakati?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mchungaji kanisa la Wasabato Kahama afukuzwa

    https://www.jamiiforums.com/threads/mchungaji-wa-kanisa-la-wasabato-kahama-na-familia-yake-wasoteshwa-rumande-kwa-kesi-ya-dawa-za-kulevya.2071776/page-4 Bado unataka na ubini?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mchungaji kanisa la Wasabato Kahama afukuzwa

    Unapiga mule mule. Tuonane Nyasubi kwa SS asubuhi leo kwa taarifa zaidi. https://www.jamiiforums.com/threads/mchungaji-wa-kanisa-la-wasabato-kahama-na-familia-yake-wasoteshwa-rumande-kwa-kesi-ya-dawa-za-kulevya.2071776/page-4
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mchungaji kanisa la Wasabato Kahama afukuzwa

    Unaye changanya mambo ni wewe. Hupendi mchungaji mhanga kujaribu kutafuta haki zake kutokea kwa mawakili huru? Yeye alikuwa mwajiriwa. Kafukuzwa kazi. Hupendi ajipiganie Kwa mujibu wa sheria Ili haki yake kama ipo apate? Think big mkuu hakipo kisichoeleweka. Huu ni ushauri wa tu Kwa mchungaji...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Mchungaji kanisa la Wasabato Kahama afukuzwa

    Hakuna ambapo siasa imetakiwa kumtetea mchungaji. Mchungaji kaonewa anashauriwa afanye nini. Ni Ushauri tu. Msema kweli mpenzi wa Mungu. Akiufuata ushauri atajishukuru baadaye.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mchungaji kanisa la Wasabato Kahama afukuzwa

    Umemwelezea vyema kutokea kwenye habari mama: https://www.jamiiforums.com/threads/mchungaji-wa-kanisa-la-wasabato-kahama-na-familia-yake-wasoteshwa-rumande-kwa-kesi-ya-dawa-za-kulevya.2071776/page-4 kipara kipya utambulisho wake kamili hili hapa. Msema kweli mpenzi wa Mungu.
Back
Top Bottom