Recent content by MKOKOSI B8

  1. M

    Uzinduzi Wa kamaeni chadema 28/8/2015 Leo Tunduma

    Hizo picha vasco da gama atasema ni photoshop kama alivyowahi kusema huko nyuma.
  2. M

    Prof. Mwandosya anena ya moyoni

    Ndo wanavyosema sijui kuna kaukweli hapo?
  3. M

    Majina ya wabunge walioshinda kabla hata ya uchaguzi

    hivi hili jimbo limebadilika kutoka Rungwe Magharibi na kuwa Rungwe Mashariki kwa maana nasikia jimbo la Rungwe Mashariki linajulikana kama BUSOKELO.
  4. M

    Majina ya wabunge walioshinda kabla hata ya uchaguzi

    Ni SILINDE mkuu, huyo LUSINDE ni mtia nia jimbo la Mtera.
  5. M

    Njombe: Wafuasi wa Lowassa wakosa kadi za CHADEMA

    mkuu una furaha mpaka unachoandika hukiangalii. SAFARI YA MATUMAINI PART II.
  6. M

    Eng.Mfutakamba ampiga mgombea ngumi za mdomo

    ya kweli haya mkuu? na kesi ikiishaje basi?
  7. M

    Dk. Slaa ajiuzulu CHADEMA, Akasirishwa Lowassa kupokelewa bila masharti!

    Taarifa hiyo hata gazeti la UHURU wameiripoti lakini magazeti mengine hayajaripoti kabisa.
Back
Top Bottom