Recent content by MKINDE

  1. M

    Msaada: Jinsi ya ku reset my application NACTE

    Habari za muda huu ndugu zangu. Naomba kujua ni jinsi gani naweza kureset my application kwenye akaunti yangu ya NACTE na je kuna malipo yoyote yanatakiwa kufanyika? Vile vile ningependa kujua mwisho wa kureapply kwa sisi tuliokosa vyuo kupitia NACTE ni lini? Akaunti yangu hadi sasa imeandika...
  2. M

    St. John's University of Tanzania TCU selection

    St John's vision statement is; "To be a centre of excellence for developing humankind holistically to learn to serve" Our aim is to provide a high quality holistic delivery of university knowledge with a view to producing a well educated human being theoretically, practically and spiritually in...
  3. M

    Uteuzi Wanafunzi wa vyuo Vikuu hadi Sept 22 -TCU

    Habari ndugu zangu, TCU wmethibitisha wale wote walioomba second selection. ukitaka kujua kama umekubaliwa kwenye chuo ulichoomba au laa. Fungua akaunti yako ya TCU then ANGALIA KWENYE MY PROFILE HALAFU ANGALIA HAPO JUU KWENYE SELECTION STATUS UTAONA WAMEANDIKA APPROVED badala ya In progress...
  4. M

    Naomba msaada, TCU profile inaonesha sikufanya application

    Habari zenu ndugu zangu, leo nimeingia kwenye akaunti yangu nimekuta tangazo la Not yet done any application halafu kwa juu kidogo nimepewa bonge la tangazo SECOND ROUND halafu vyuo vyote ni kama vinavyoonekana hapo chini....ila nilipotaka kuapply nikaambiwa APPLICATION FOR SECOND ROUND WILL BE...
  5. M

    TCU-CAS msaada tafadhali

    asante kwa ushauri mkuu ushauri wako mzuri sana.
  6. M

    TCU-CAS msaada tafadhali

    nimejaribu kufanya hivyo muda huu zimegoma tena bado zinaonekana zilezile nne. tatizo linaweza kuwa ni nini? naombeni msaada jamani ndugu zangu
  7. M

    TCU-CAS msaada tafadhali

    Habari za muda huu ndugu zangu. Mimi nilimjazia mdogo wangu vyuo kupitia CAS TCU tangu tarehe 27/7/2014 nilimjazia course nne nikaacha moja ili nikipata chuo kingine nije nijaze tena lakini kilichotokea ni kwamba leo nimeingia kwenye akaunti sijakuta hata cozi moja. nikajaza upya ila...
  8. M

    Abel Magembe-mgombea ubunge jimbo la Sumbawanga Mjini-CHADEMA

    sorry this message removed due to some errors that occured during posting this thread. Thanks
  9. M

    Tcu-mliofanya second application selection zenu hizi hapa

    Habari, kama wewe ulifanya second application kwa wale ambao walikosea application zao. Ukitaka kujua course uliyochaguliwa na chuo ingia kwenye profile yako, bofya kwenye view my selection status, chuo na course utakayoikuta ndiyo hiyo uliyochaguliwa. MUHIMU: kama ukikuta chuo na course yako...
  10. M

    Lecturer udsm auza desa 10,000 kwa lazima,,,

    bora yao wananunua Tsh.10,000/= huku kwetu 20,000/= na ni lazima uingie nalo kwenye test kama huna wewe ujijue ni direct carry course. Hii ndio nchi yetu ya kifisadi mpaka yehova atakaporudi
  11. M

    Amenisomesha, kaninunulia gari lakini sina mapenzi naye

    Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 naishi Tabata Jijini Dar es salaam, nimejitokeza kwenu kuomba ushauri, Mimi na mpenzi wangu ambae amenisomesha toka form one hadi sasa nipo chuo kwani wazazi wangu walifariki wakati mimi nikiwa mtoto mdogo sana. Sasa huyu mpenzi wangu amenigharamia sana...
  12. M

    Second selection st.john university hiyooooo!

    Fungua link hiyo hapo chini kuona list.asanteni
  13. M

    Wale wa loan verification majina yametoka angalieni hapa-heslb

    wale wa incomplete forms kama ulishafuata utaratibu na kupeleka zile documents muhimu na ni mwaka wa kwanza uliyemaliza kuanzia 2010 kurudi nyuma mkopo kwa BATCH 1 unao ondoa shaka.
  14. M

    Wale wa loan verification majina yametoka angalieni hapa-heslb

    Habari zenu ndugu zangu wana JF. Nilikaa kimya sana mdodosaji ila naamini ya kwamba kimya kingi kina mshindo mkuu. Jana nilikuwa ndani ya ofisi ya HESLB kuendelea kudodosa kulikoni sisi wa loan verification na wengine majina yetu yaliyopelekwa kusiko stahiki. Majibu niliyopewa ni kwamba toka...
  15. M

    Kwa wale mliokosa mkopo na previous lonees soma hapa kutoka kwa mdodosaji...

    kama una neno priority mkopo unao tusubiri tarehe 25/09/2012 hivi karibuni nitadodosa zaidi kuhusu hili swali lako
Back
Top Bottom