Ukiwa bongo, kununua bidhaa za kikenya ni bei rahisi kuliko hapo mbeleni.
Ukiwa Nairobi mtaani wa kibera, bidhaa kama mahindi ya kutoka Tanzania sasa ni bei ghali
Congrats Tanzania, the foundation of wisdom by hayati mwalimu nyerere and sacrifices by John pombe Magufuli to impliment mwalimu's vision is now brearing Fruits!!
On the shoulders of these 2 great Giants stands mama samia suluhu, who is steadfastly implementing JPM's industrialization agenda
Yaani hadi leo bado jamaa ameajiriwa? eti yeye hungojea payslip 🤣 🤣 🤣
Heri Sk macharia(citizen tv kenya) ama diamond (wasafi) This is just a slave pthooo! wacha nikae na ukikuyu wangu, mbeca ni kuoya kuoya
Diamond hajui Kidhungu, japo anajitahidi sana..Wenye wanampiga ni wivu tuu..mwezi Jana nilikuwa Congo DRC kinshaha lingala ilipaa kwa klabu, Bongo za Simba wa Africa mashariki zilinitoa huzuni ya kwetu kiambuu..nikaona nipo tu nyumbani
Duuh,
Kuna sura nyingine ya Dar ambayo hatuonyeshwi hadharani..Dogo hapa wamejituma kwa Technologia kinyama..
Walivyo wa siri hawa wenzetu wa bongo, hatujui kama dogo wao wanaunda vifaa vya nuclear!
Tena sikiza Ki- English chao wanavyo kitoa na pua..Aisee!
BBI is a very good document for Kenyatta's Robot voters and Raila's Cows. BBI clearly defines the likes of you as slaves so that you don't have misplaced ideas that you are citizens in country owned by Mzungus and 3 Big families.
BBI lazima itapita mpende msipende, loans will not repay...
Hivi Hamna madawa ya wanaougua ukimwi kisa shirika lenu la KEMSA limepigwa pin na wafadhili wa marekani sababu ya ufisadi lakini bado MNA roho ya kutia pua kwa mambo ya nchi nyingine..
Aisee, watu wajipee shughuli bana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.