Sheria za uchaguzi zimekaa kuibeba CCM, ngoja TAL afungue watu masikio inatakiwa ifike mahali Kura yako iwe na thamani.
Siyo hizi brah brah za Mkaza mwana , kilichotokea uchafuzi wa serikali za mitaa ni Msiba kwa Demokrasia.
Wanasema kawia ufike kwani tuna haraka gani, acha yatengenezwe...
Mpaka akili ziwakae sawa, si mmekubali kuongozwa na CCM.
Watunga sheria mjengoni ndiyo wale kina Musukuma na Kibajaji,
Njoo kwa wakuu wa wilaya ndiyo yale Majambazi yaliyoachiwa juzi toka jela na wavaa vichupi.
Kila kitu ni shaghala baghala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.