Recent content by Mke wa mmasai

  1. M

    Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

    Kwa nini amalize familia ya watu
  2. M

    Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

    Sasa kama sio kukogombania mali ni nini, sika mmewe uumesema ameandika mke wake akitaka kuolewa aachie mali Sasa si achie akaolewwe aanze moja
  3. M

    Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

    Kabisaaaaa arudishe mali, ziwekewe watoto, yaani limwanaume lingine ndio lije lifaidi mali ya mwenzake.alafu na wewe tukuulize ulijuaje house gal aliitwa Chemba, na umejuaje hayo mambo yote ya familia ya kina msuya yanayoendelea na wakati hamko karibu na ndio maana hata kwenye msiba hamkwenda...
  4. M

    Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

    Huyu ni ndugu wa marehemu, subiri mali ndio mumchinje mwenzenu kama kuku, nenda kamteteee police Sasa, na wewe utakuwa mmojawapo
Back
Top Bottom