Msema chochote humaliza maneno yote kamwe habakizi maneno ya akiba kwa sherehe ijayo.
Ukimya una jambo, ndio busara, mda ukifika msema chochote atanywea.
Mh hakosei, labda wale wanaomtakia akosee ndo wanakuza mambo.
Naamini kama wawekezaji wana manufaa kwetu wataendelea na shughuli zao pamoja na kutoa huduma ya maji kwa wananchi.
Kama hawana manufaa wataondoka maji yapatikane pia. Jambo la msingi hapo ni maji kupatikana eneo husika.
Magufuli...
Muhongo kashasema yeye na wizara yake hawakuhusishwa kwa hilo, alafu nyie jamaa mnasema walikuwa wanataarifa before, mbaya zaidi mnaenda mbali zaidi eti na ikulu walikuwa wanataarifa!! Jaribuni kuwa mnaelewa japo kidogo basi.
Hivi ni kweli ACT kila mwaka wanachangia damu salama akiwemo ZZK?
Je huwa wana-unprofessional wao kwa ajili hiyo au huwa wanatolewa na professional personnel?
Nimejiuliza hayo maswali baada ya kuelewa kwamba hiyo juzi mweshimiwa tunayeamini ni msomi hakuwa akifaham blood group yake!!!
Maana...
Naomba kuuliza,
Hivi ni kweli lema ndo pekee yuko mahabusu?
Hivi ni kweli yeye pekee ndo wa kwanza kuwekwa mahbusu?
Hivi ni kweli yeye ndo atakuwa wa mwisho kuwa hapo alipo na kushitakiwa kwa makosa kama hayo?
Hivi ni kweli xmass hii ndo ya kwanza na ya mwisho?
H
Nina wasiwasi na mleta mada...
Waandishi wa habari kwa sasa wanashindana kwa hali na Mali ili kila mmoja awe wa kwanza kutoa taarifa Fulani ili wapate umaarufu, maskini wamesahau kuwa taarifa tatu safi hufutwa na taarifa moja chafu. Wamekuwa wazembe wa kufanya utafiti wa kina juu ya habar Fulani.
Mbuyu ulianza kama mchicha, kiwanda kidogo huzaa kikubwa, huwezi kurukia hatua katika maendeleo yoyote. Kama hatuwezi kuthamini viwanda vidogo hata vikubwa pia hatuwezi zaidi. "If you can not manage a small industry, how can you manage a big one?"
Vijana wenzangu tujitume kuanzisha viwanda...
Namuamini sana raisi wangu magufuli, kama kweli walikubaliana kufanya kazi pamoja na dangote watafanya tu. Magu hawezi muacha muwekezaji kama huyo aondoke tz hivihivi.
Siwezi comment chochote hadi nisikie upande mwingine wa serikali yangu tukufu. There might be a problem with dangote.
Niko pamoja na mtanzania 1989 kuunga mkono uamuzi wa Dk. Magufuli.
Mosi, mkuu alikataza account za uchochoroni, tuelewe hivyo watanzania wenzangu.
Pili, secta kama tra isitegemee kuwa tajiri (uchumi mkubwa) ikiwa sekta nyingine hazina kitu ukizingatia Tanzania kuna secta za kutoa tu huduma...
Point yangu ni kwamba. Nyadhifa halali alizokuwa nazo zinatosha kumpatia kipato halali cha kumiliki hilo jengo, kama sivyo basi sitegemei kumuona mtz mwenye kipato halali akiwa na jengo kama hilo.
Nahisi nyie jamaa mnasumbuliwa na wivu wa maendeleo ya watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.