Jana jumamosi saa 6 mchana Nilifanya muamala airtel money pesa ya kununua ticket ya kusafiria jana usiku kwenda kusheherekea Eid Mkoa fulani.
Airtel walikata hela ya nauli na ada yao ya huduma Tsh 900 kwa huduma hiyo. Hadi nafika kituoni kupanda basi jana saa 4 usiku muamala haujakamilika na...
Hujui watanzania walivyo waharibifu kwenye biashara. Hamia Kimara utaonja joto ya jiwe mateso ya mwendokasi unaoendeshwa na watanzsnia...Wana kimara tubampongeza Rais kwa kuwapa wataalam waendeshe mwendokasi t7nasubiria kwa hamu. Kote wanapoendesha watz hasara tupu soma taarifa ya CAG
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.