Ni rahisi mno warudishe tu, walichukua za nini wakati sisi hatukuwa na covid , huo ni uwizi. Hizo fedha zirudishwe ili zikasaidie wanadamu wenzetu katika nchi zilizo athirika na hyo ndio utu na ubinadamu.
Ndio kawaida ya polepole anaacha kujibu hoja za msingi anarukaruka.kwanza ajibu hoja haache kusema sisi nchi huru ,kwani wakati wanachukua ela za watu wakati hakuna homa hawakujua kama ni uwizi na udanganyifu .
Mimi ninasema, hakuna haja ya kurudia uchaguzi ,turudie tu kuhesabu maboksi ya kura, tutakutana na vibutu vya kura vingi ambavyo vimetumika bila ya kuandikwa namba ya mpiga kura juu, hivyo ndio kira feki zza kuziondoa kwenye hesabu. Kwa kura hizo zilipigwa usiku sio rahis kuandika namba ya kadi...
Walichokiandika ni sahihi, huu uchaguzi haukuwa wa huru na haki, kilichofanyika ni uhuni tu, wa dakika za mwisho. Ccm na NEC wameshindwa kujibu hoja kwa nini majimbo mengi idadi ya kura za rais itofautiane na kura za jumla za mbunge? wakati mpiga kura anapewa karatas zote. Wajibu kwanza swali...
Kama ikitokea viongozi wa kitaifa wakazuiwa kusafiri nje,basi spika ndiye atakaye athirika zaidi,kwa sababu ndiye kiongozi anayepnda kwenda kula bata nje na kwenye matibabu.kwa hyo atafoji hata majina ya chadema ilimradi tu bunge lake Liwe na element za kiupinzani walau tusile ban
Haitasaidia, ni kuwaachia bunge lao. Hii miaka mitano tutakapopata kibano akili itawakaa sawa,tusijidanganye tunaweza kuishi bila dunia. Fikiria Zitto alivyozuia tu fedha za wahisani trilioni kelele zilivyokuwa nyingi. Je fikiria sasa msaada yote ifungwe, mashirika na taasisi za nje...
CHADEMA wakubali tu kupoteza hizi seat,waishi maisha magumu lakini watapata faida sana huko mbeleni.
Lakini wakikubali kuingia mtegoni ,wakapeleka wabunge bungeni,ndio habari yao imekwisha.
Kwa sababu nchi wahisani nyingi zimeonyesha nia ya kulalamikia faulo zilizochezwa, tutegemee mbinyo...
Nyie ndio mnasemaga hivi halafu mnasafirishwa hadi dodoma kwenda kushuhudia mbunge wako anavyoapishwa,,halafu unarudi nyumbani hadi sidiria ya mke wako hujabeba. Sasa kwa nini shemeji asigongwe na masela wa bavicha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.