Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Political gain yake ni kubwa kuliko wakienda huko . Watawaumiza wananchi wapenzi wa vyama vyao na watakua demoralized na hivyo chama kupoteza mvuto kabisa ndiyo kifo kabisa.Faida kwao ni ipi?
Political gain yake ni kubwa kuliko wakienda huko . Watawaumiza wananchi wapenzi wa vyama vyao na watakua demoralized na hivyo chama kupoteza mvuto kabisa ndiyo kifo kabisa.Faida kwao ni ipi?
Uko sahihi kabisa. CCM wako kwenye hali mbaya sana kutokana na hii situation, hawawezi kuliweka wazi tu. Aliyewashauri kutekekeza huu mpango ovu lazima sasa hawampendi. Hata hawa humu jf wanaobembeleza CDM wapeleke wabunge Bungeni, they are not happy. Hilo bunge halitapendwa hata na wana CCM.Wakiacha kupeleka majina bungeni, uchaguzi unaokuja watapata wabunge wengi zaidi tena kwa msaada hata wa ccm wenyewe.
Na Mimi nilikuona ulivyokuwa unakuja kwa mdomo ndio nikauliza kwa wadau, wakaniambia joy ugonjwa ni wa kuambukizwa kutoka kwa wazazi ndio nikaona wewe utakuwa ulirithi.Ujue maneno yako uliyoongea niliona kama kinyesi Fulani hivi ndomana nikauliza sasa unawaka kumbe kweli mama niliuliza tu
Endeleeni na bunge.Kwa kujiliwaza hamjambo!
hakuna kwenda mtu pale bungeni ccm wabaki na haramu yao, watuletee watanzania maendeleo magu alishasema wapinzani wanachelewesha maendeleo ya watanzaniaMimi Nafikiri kukimbia ni mbinu ambayo kwa miaka yote haijatusaidia sana! Umefika wakati wa kucheza nao game lao! Kwanza tupeleke wanawake mashujaa, pili tuanze kupandikiza watu wetu kila idara muhimu! Tupenyeze watu kwenye system yao wakakipasue chama huko huko kama wao walivyo leta wa kwao kina Lowasa! Tusipo tumia hii formula yao tutakua wa kupigwa kila mwaka!
fikiri mara mbili tangu lini magu na ndugai wakakwamishwa kupitia akidi ya wapinzani pale bungeni, msimamo ni hakuna kwenda wala kuzikubali hizo nafasiNakuelewa, lakini ujue siyo kwamba nakubali dhuluma! Mimi natoa ushauri tu kwamba ninyi majembe kwasababu kuna hizi fursa chache muende kule mkakwamishe hata jambo moja tu baya walilo kusudia. Alafu tuunge juhudi ‘kinafiki’ kama wao lakini kwa malengo! Hizi njia zetu zimebuma, tuwapige kwa game yao!
Tuwekeze kwenye taasisi zote nyeti! Kwa wananchi, people’s power, CHADEMA ni msingi, sijui oparesheni gani hayujafanya?! Tubadili mbinu!!
SureEti yule aliyekuwa katibu mkuu wa CHADEMA Mashinji naye ni Deep state
CHADEMA wakubali tu kupoteza hizi seat,waishi maisha magumu lakini watapata faida sana huko mbeleni.
Lakini wakikubali kuingia mtegoni ,wakapeleka wabunge bungeni,ndio habari yao imekwisha.
Kwa sababu nchi wahisani nyingi zimeonyesha nia ya kulalamikia faulo zilizochezwa, tutegemee mbinyo mkubwa wa kiichumi.
Hakuna nchi iliyofanikiwa kuvuka vikwazo bila kuomba poo na kurudi kwenye meza ya maridhiano,hata hao wanaosema tunaweza, kuishi bila wao,wanajisahaulisha.wafuatilie historia ya Rais wa Nicaraguay
Kama unafikiri litaahirishwa au kuwabembeleza, utakuwa unaumwa! Nikukumbushe kauli ya Rais Magufuli wakati anaapishwa," UCHAGUZI UMEKWISHA! UCHAGUZI UMEKWISHA! UCHAGUZI UMEKWISHA! "Endeleeni na bunge.
Jamaa unaongea kama kwamba na mimi ni mmoja wao! Mimi sipo nao, mkuu! Hapa naleta wazo mbadala tu, lakini tusi kubwa ambalo unaweza kunitukana ni kuniona na mimi na mwanamboga mboga!Mbona unaonekana unaumia kwa CDM kutopeleka wabunge!? Si mmeongea sana kwenye kampeni kwamba hamtaki kuchanganyiwa, hampendi wapinga maendeleo. Jadilini maendeleo ya nchi Bungeni mkiwa wa kijani pekee ili mtuletee maendeleo kwa kasi kama mlivyoahidi. Hawa wa vyama vingine waliowarudisha nyuma miaka mingi ambao hata hivyo viti maalumu vimepatikana kwa bahati tu, waacheni wafanye mambo mengine. Kama nia yenu ingelikua ni hiyo "njema" unayotaka kuonesha hapo, engua engua za hovyo kabisa zilkua za nini??. Jadilini mijadala bila wapinzani mlete maendeleo.
Huyo wa nicaraguay alifanywaje?CHADEMA wakubali tu kupoteza hizi seat,waishi maisha magumu lakini watapata faida sana huko mbeleni.
Lakini wakikubali kuingia mtegoni ,wakapeleka wabunge bungeni,ndio habari yao imekwisha.
Kwa sababu nchi wahisani nyingi zimeonyesha nia ya kulalamikia faulo zilizochezwa, tutegemee mbinyo mkubwa wa kiichumi.
Hakuna nchi iliyofanikiwa kuvuka vikwazo bila kuomba poo na kurudi kwenye meza ya maridhiano,hata hao wanaosema tunaweza, kuishi bila wao,wanajisahaulisha.wafuatilie historia ya Rais wa Nicaraguay.
Yupo under keyboard, ndugu yangu!"Knee-me-war-sea-key-a mme-sir-how mna-cha-tea kwa sir-u-tea huku m-key-war laivu car-bee-sir!"
Chadema wamvue uanachamaHuyo Aida wa Nkasi aunge tela huko huko CCM laasivyo atawagharimu wananchi wa Nkasi maana atatumika kama chambo kwa serikali kumtolea mfano, maana majimbo mengine yatapewa maendeleo kasoro lake ili uchaguzi ujao wapate cha kusema!!
Ni mpumbavu pekee ambaye hakuona wizi wa kura na hujuma zilizofanyika.Kama kuna mbunge Yeyote wa "saccos" aliyeshindwa kwa kura za maruhani anaruhusiwa kwenda mahakamani, mbona hawaendi?? Na wazi wameshindwa kihalali ndio maana wamekaa kimya na kuishia kufunga cinema na kura wanazodai ni za "Raisi" ambazo ni "fake", mbona na si za "ubunge"
Ni mpumbavu pekee ambaye hakuona wizi wa kura na hujuma zilizofanyika.Kama kuna mbunge Yeyote wa "saccos" aliyeshindwa kwa kura za maruhani anaruhusiwa kwenda mahakamani, mbona hawaendi?? Na wazi wameshindwa kihalali ndio maana wamekaa kimya na kuishia kufunga cinema na kura wanazodai ni za "Raisi" ambazo ni "fake", mbona na si za "ubunge"
Hahahahaha imebidi nicheke sanaNa Mimi nilikuona ulivyokuwa unakuja kwa mdomo ndio nikauliza kwa wadau, wakaniambia joy ugonjwa ni wa kuambukizwa kutoka kwa wazazi ndio nikaona wewe utakuwa ulirithi.
Pole tutakuombea ili upone
Nakuonea huruma sana subiria kidogo tuu tutaelewanaHahahahaha imebidi nicheke sana