Afisa wa CHADEMA kanda ya Ziwa Magharibi Kamanda Meshack Micus a.k.a Mbunge wa Nkege ameendelea na operation tokomeza CCM katika Mkoa wa Kagera operation iliyoanzia Jimbola Biharamulo,na kuelekea Bukoba Vijijini,Bukoba Mjini,Nkenge na leo atazungumza na wanawake wa Bukoba Manispaa.
Katika...
Duh! Hii tamu sana Wakuu!
Akijibu Swali la Mwandishi wa Habari wa Gazeti la Mwananchi lililohoji "Chadema Inatarajia Kufanya lini Uchaguzi wake wa Kitaifa, Kwa Sababu NCCR-Mageuzi wao Wametangaza tayari Uchaguzi wao"...
Akijibu Swali hilo Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema Mhe.John...
Tafadharini sana anayeihusisha CHADEMA na Uchaguzi wa NCCR Imekula Kwake, Kwa taarifa CHADEMA ni Chama Makini na hakiongozwi Kwa Kufuata Mkumbo, Ok! UCHAGUZI WA CHADEMA KITAIFA NI BAADA YA UCHAGUZI MKUU 2015.
Licha ya Watanzania zaidi ya (4,000,000) Millioni nne Kubainika Kwamba yawezekana hawatapata haki yao ya Kikatiba ya Kupiga Kura ndani ya Chaguzi zinazofuata Baada ya Dalili za Kutoboreshwa Kwa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Kwa Madai Kwamba Serikali haina Fedha za Kutosha Kuifanya Kazi hiyo...
Huyu "Uchaguzi" anatapatapa Kama mfa Maji, Kwa taarifa Mimi ninaishi Bunda Mtaa wa Polisi hapa, Magambo Wassira ni Kijana wa tatu Kuzaliwa Katika familia ya Waziri Wassira, pia Kuhusu Kuwa Mganga wa Kienyeji ni Uongo uliokomaa Kupita Kiasi pia ni Kashifa za Kipumbavu Coz Magambo hajawi Kuwa...
Mbunge wa Jimbo la BUCHOSA Mkoani Mwanza ambaye pia ni Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe.Charles Tibeza, amekumbana na aibu ya fungua Mwaka huko Jimboni Kwake Katika Kijiji Cha Itabagumba baada ya Kuzomewa na Wananchi wa Kijiji hicho baada ya Kuuvamia Mkutano wao Mkuu wa Kijiji na Ghafla Kuanza...
Mgombea wa CCM Bunda anaitwa ALEXANDAR MWIKWABE, ni Dhaifu hakuna Spair...cha ajabu amelazimishwa Kugombea baada ya Wagombea Wawili Kujitoa na Kurudisha fomu zao. BUNDA tuko tayari Kufa Kwa risasi za Moto, kwa sababu Mabomu tushayazoea ila ni lazima CHADEMA Itawale Nyasura, tushachoka na hadithi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.