Recent content by Mkama makongo

  1. M

    Kuhusu ajira mpya za walimu 2013/2013

    Serikali isituchoshe pia sisi tusiichoshe basi tusichoshane, mshahara wenyewe kidogo hlafu wanaringa kutoa ajira,waache! Tutalima bustani.
  2. M

    Ajira za walimu

    Jaman napenda kuuliza,ajira mwaka huu hazipo? Mbona kimya.
  3. M

    ajira mpya za walimu 2013-2014

    Hivi wizara ya elimu haioni kuwa haiwatendei haki walimu kwa kuwacheleweshea bjira walimu? Jaman mwalimu anamaliza chuo mwezi wa 5 anakaa mpaka mwez wa 3 hii siyo haki,wizara iliangalie hili.
  4. M

    SIXBROTHERS ENTERPRISES:Tshirt na kalenda zinauzwa

    Sixbrothers enterprises inawatangazia wananchi wote kuwa kuna tshirt (round & form six) za rangi zote zinauzwa kwa bei nafuu,pia kalenda za mwaka 2014 zinapatikana. Morogoro wacliana na afisa habari mkama 0786656135, Dodoma wacliana na Elikana 0764766203, Dar es Salaam wacliana na mkurugenzi...
Back
Top Bottom