naomba pia wachangiaji wengine tuige rugha waliotumia maaskofu ya upole sio ya kukashifu dini zingine kwa mazuri/mabaya yao hata wao wengine hawapendi yanayofanywa na wenzao
panaitaji busara ya waislam wenyewe ili kurudi kwenye aman kwa sababu kwa kila jambo wanahisi wanaonewa mpaka wanfika kukatatamaa kwamba lolotenaliwe.mtu akijazwa sumu ya udini kumtoa ni kumpeleka shule afundishwa jinsi dini zilivoanza lakini sio kudandia tu bila kujua zilifikaje huku kwetu hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.