Recent content by MK2017

  1. MK2017

    Kulipia huduma ya Choo sehemu za umma (sokoni na stendi)

    Habrini wana JF, Mimi leo langu ni swala zima la watu (haswa sisi watanzania) kulipia huduma ya kujisaidia sehemu mbalimbali kama stendi na sikoni. Najuwa baadhi yeta tunaweza sema oooh kunahitajika usafi, sawa, mbona kwenye viwanja vya ndege kuna vyoo na vipo safi muda wote? Pia hata nchi za...
  2. MK2017

    Serikali ifanye udhibiti wa uuzaji wa spare za magari ya Serikali na Mafuta; Tunaomiliki garage tunaumia sana mfanyacho

    Ahsante kwa kuwa muungwana na kurejea kwa marekebisho. Ila kwa maoni yangu, hata kama ungemute (kukaa kimya), ujumbe ulishafika na umepokelewa. Mjumbe hapigwi mawe. Kuwa na amani bwana mkubwa.
  3. MK2017

    Kuna genge lenye roho mbaya ndani ya CCM

    kweli kabisa. Sema mkuu ni mmoja i.e. chama na serikali, Hivyo hutuwia vigumu kutofautisha kwa haraka haraka
Back
Top Bottom