Inasikitishaa sana; hafukuzwe mafunzo yeye alafu Leo inaonekana alikuwa na check namba na pesa ikawa inaflow wakati ajawahi lamba ata senti moja ; kwann watu wanawasababishia matatizo wengine ambaye hakujua lolote lile
Kuna mdogo wangu alijiunga chuo cha upolisi CCP moshi mwezi wa 8 mwaka 2010 lakini hakuweza kumaliza mafunzo kwani alikuwa terminated mwezi wa 9 mwaka 2010 kutoendelea na mafunzo kwa kosa la kukutwa na simu, baadae miaka miwili yaani 2012 alijiunga na kozi ya Afya kwa ngazi ya diploma na kuitimu...
Hujakosea mkuu Mimi mwenyewe kitambulisho taifa huu ni mwezi wa tano sasa sijapata na kila kitu nshakamilishaaa, juzi nime apply chuo nje ya nchi maombi yangu yamerudishwa wanataka national identity
Wewe acha kupotoshaa, vituo vinaagiza sawa leo huku waagizaji wakiwa na stock ya mwezi wakiamini kuwa mwezi unaofuata dawa zitakuwa tayari zishafika lakini inachukua miezi 3 mpaka 4 ndio MSD wanaleta dawa kwa mfano umeagiza dawa Leo hapo kaa ukijua utaletewa mwezi wa tatu au wa nne mwakani hivi...
Kuna watu wana grandiose disorder na ni character za schizophrenic disorder tena ile category ya hebphrenic schizophrenia ( dis organized schizophrenia)
Kwaiyo sisi wa sekta binafsi ni wazushi kwenye haki yetu, tambua unachokiongea we we, ivi unajua sekta binafsi imechangia pato la taifa hili kwa kiasi gani? Watu wanadai pesa zao eti wewe unachangia mdahalo huu kwa kujibrock eeee
Kwa hesabu ndogo tuu mkuu kuna mtu alikuwa analipwa 1236000/= per month kwa mshahara huo mifuko ya jamii alikuwa anakatwa 10% na mwajiri anamchangia 10% jumla alikuwa anachangia 243600 /= kwa mwezi . sasa chukua 243600×miaka 30= 87,696,000/= na hiyo haina ongezeko lolote hiyo ni pesa kwa miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.