Recent content by Mjuba TZ

  1. Mjuba TZ

    Je, Watoto wanaolelewa bila vipigo hawana maadili?

    😁😁😁😁😁😁shida ni moja tunaishi kwa mazoea maana unaweza mlea mtoto bila shouting wala viboko na akawa mtoto mwema ila akitoka nje ya imaa anakutana na waliomzungua na wanakua nje ya maadili so hapo hapo ndipo viboko vimatake place kwa sababu kuna vinimambo ame adapt outside
  2. Mjuba TZ

    TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

    tatzo tuna uhuru wa kwenye makaratasi na sio wa kujitawala maana okoni wa kizungu umetoka saiv tunao wa kwetu binafsi
  3. Mjuba TZ

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nairobi ilikua vizuri zamani kutokana na kuwai kujengeka ila tatizo miundo mbinu yao aijawa rafiki kwa kuboresha ili iwe kisasa ivyo basi Dsm inakua kwa kasi kitokana na kuchelewa kujengeka na kupanuka ivyo mazingira yamekua rafiki kwa kujenga na kuendelea kupanuka kua jiji la kosasa
Back
Top Bottom