Mkuu afadhali hii mara elfu kuliko kumpelekea mteja zege lililo chini ya kiwango. Wateja wao wanapata kadhia kubwa sana. Fikiria zege lisilokauka. na upo sakafu (floor) ya tatu.
Nimeshasema subiri evidence zinakuja zitasema kila kitu , hayo ya mchangiaji na mtoa mada ama aliyeliwa kichwa sio hoja ya kutatua tatizo . Badilikeni haraka.
Ama Stay tuned.......................
Hii ni tahadhari : Hii Kampuni yenye vinu Huku Mbagala na Eneo la Gereji Mandela Road Dar Es Salaam , inahusika na utengenezaji , uuzaji na usambazaji wa Zege kwa wateja ambao ni wakandarasi na watu binafsi kwa ajili ya ujenzi wa majengo makubwa na ya kati,
Nimegundua kuwa hawa Camel Concrete...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.