Mwenye kuhitaji simu ataamini nilichosema hapo juu ila kwa anaetaka mjadala wa malumbano ya hoja hata amini hadi kiama!
Msema ukweli ni mpenz wa mungu.
Hilo box na chaja na headphone ndio zake na zipo hazijawahi hata kutumiwa .ila simu hio nimeeka sample maana sina simu ya kuipigia picha hii samsung ninayouza maana ndio ninayoitumia hapa.
Ni simu nzuri ina miezi mitano tokea niinunue. Ina risiti na kila kitu chake mpaka box lake.
Bei laki mbili na 30 tu karibu sana 0655101826
Mzigo uko ndani ya dar!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.