Recent content by MJOMBA jr

  1. MJOMBA jr

    Samsung grand prime iko sokoni

    Simu nzuri nimeipenda
  2. MJOMBA jr

    Samsung grand prime iko sokoni

    WADAU SIMU ILIYOKO SOKONI NDIO HII
  3. MJOMBA jr

    Samsung grand prime iko sokoni

    Pamoja sana!
  4. MJOMBA jr

    Samsung grand prime iko sokoni

    Ni yangu naiuza kwa mapenzi yangu kama nilivyoinunua kwa mapenz yangu!
  5. MJOMBA jr

    Vodacom Tz mmeanza kuboa siku hizi

    Mi mwenyewe naanza kuwachoka taratibu!
  6. MJOMBA jr

    Samsung grand prime iko sokoni

    Boss 100% nakupa na garentee 4 months!
  7. MJOMBA jr

    Samsung grand prime iko sokoni

    MABOSS WANGU WALA MSIJALI SOON NAWAEKEA PICHA HALISI YA HI SIMU
  8. MJOMBA jr

    Picha: ugonjwa gani huu na nini tiba yake?

    Ugonjwa wako!
  9. MJOMBA jr

    Samsung grand prime iko sokoni

    Wahitaji wa simu karibuni. Wala usihofu simu iko 100% fine na risit yake nakupa .
  10. MJOMBA jr

    Samsung grand prime iko sokoni

    Mwenye kuhitaji simu ataamini nilichosema hapo juu ila kwa anaetaka mjadala wa malumbano ya hoja hata amini hadi kiama! Msema ukweli ni mpenz wa mungu.
  11. MJOMBA jr

    Samsung grand prime iko sokoni

    Hilo box na chaja na headphone ndio zake na zipo hazijawahi hata kutumiwa .ila simu hio nimeeka sample maana sina simu ya kuipigia picha hii samsung ninayouza maana ndio ninayoitumia hapa.
  12. MJOMBA jr

    Samsung grand prime iko sokoni

    Ni simu nzuri ina miezi mitano tokea niinunue. Ina risiti na kila kitu chake mpaka box lake. Bei laki mbili na 30 tu karibu sana 0655101826 Mzigo uko ndani ya dar!
  13. MJOMBA jr

    Safari ya kwenda Cape Verde na dreamliner imebuma.

    Mleta uzi hana ufahamu na anachotuletea. Fanya uchunguzi wa jambo ndio ulete uzi acha ushabiki wa kisiasa!
Back
Top Bottom