Recent content by mjizu123

  1. mjizu123

    Je, ni kweli Allah amewaumba binadamu na majini ili wamuabudu?

    Kuna majini walio amini na majini walio kufuru/ wao wanaishi ulimwengu wa giza wameumbwa kwa moto sisi tumeumbwa kwa udogo Majini walio kufuru ndio hutumiwa na binadamu walio kufuru ila majini walio amini atumiwi na mtu wowote Mungu anasema amemuumba binadamu na majini ili tu tumuabudu yeye...
  2. mjizu123

    Tuanzishe dini ya kiafrika, kuabudu mizimu ya babu zetu

    Sawa mimi nipo tayari tuazishe mimi na wew wengine watafata
  3. mjizu123

    Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

    ni kwanini herufi S imejirudia mara 3 kwenye nyota tofaut
  4. mjizu123

    Natafuta mganga wa kienyeji konki

    Endelea kutafuta mkuu iyo ni muhimu ukizipata njoo dm
  5. mjizu123

    Natafuta mganga wa kienyeji konki

    Hii namba naomba mkuu
  6. mjizu123

    Natafuta mganga wa kienyeji konki

    Mkuu angalau tupe maasiliano
  7. mjizu123

    Natafuta mganga wa kienyeji konki

    Mkuu na wewe ukipata usinisahau japo kuja kwa dm yangu
  8. mjizu123

    Je, unafahamu uliishajiua wewe mwenyewe kiroho na kimwili?

    Kukutana na mtu kimwili si kwa kujifurahisha tu ni kifungo cha Nafsi ( Spiritual bond soul tie.) Angalia Kwa Umakimini ni nani unakutana naye kimwili??, Kila unayekutana naye kimwili kuna sehemu yake inabaki kwako, Ndiyo maana unaweza ukakuta watu wengine wabaya sana,wakatili,wengine ni kama...
  9. mjizu123

    Kama kuna somo linawafundisha wanawake wa Kiislam Usafi na Mapenzi basi Somo hilo liwekwe kwenye mitaala ya elimu waelimishwe wanawake wote

    Mimi ni muislam na mke wangu ni muislam ila mtoto wangu wa kike ana miaka mitano na mama yake tayari anaaza kumfundisha usafi kama vile kusafisha maeneo yake anapo kojoa anapo amka asubui lazima ajisafishe anamfundisha kufua chupi yake anamfundisha kuva chupi mara moja tu kwa siku Sasa uyu...
  10. mjizu123

    Rais Samia ameonesha Ukomavu na Utayari mkubwa katika kuleta mabadiliko ya mfumo wa utawala Tanzania

    Rais wa nchi, Mh. Samia Suluhu Hassan, ameonesha Ukomavu na Utayari mkubwa katika kuleta mabadiliko ya mfumo wa utawala wa Taifa letu pamoja na changamoto kibao zinazolikumba Taifa hili kwa sasa na kipekee sana wahafidhina ndani ya Serikali na chama Tawala ambao wanajaribu kukwamisha au...
  11. mjizu123

    Ogopa hii kauli kwa wafanyabiashara wanaosema bidhaa ni used UK na Dubai

    Pole ila jua hiyo ni biashara ya police na wezi POLOSI WA SASA SIO WAAMINIFU NA kesi aipo maakamani ola simu imerudishwa pale pale ulipo ichukua inaendelea kuwinda wengine.
  12. mjizu123

    Unajua Wazungu wana akili sana!

    UNAJUA WAZUNGU WANA AKILI SANA DADEKI[emoji23][emoji23] just imagene natoa elimu ya historia ya mtu mweusi alafu mtu mweusi ndo anakua wa kwanza kukataa na kujidharau na kusema mweusi hajui chochote zaidi ya kurogana wacha nikuambie Wazungu walicheza na falsafa ya TAKE THEIR BRAIN LEAVE THEIR...
  13. mjizu123

    Maisha ya mwanadamu ni hatma

    Hakika kubwa.
  14. mjizu123

    Maisha ya mwanadamu ni hatma

    MAISHA YA MWANADAMU NI HATMA Ulishawahi kujiuliza kwamba Maisha yetu yote ni hatma iliyopangwa au tunaishi kwa muongozo wa akili zetu kwa kufuata kanuni za maisha yetu. Ni kawaida sana kwa watu wengi kusema kuwa kila kitu maishani kimepangwa na kila mwanadamu ataishi kwa mipango yake kwa kadri...
Back
Top Bottom