Habari zenu wadau,
Nipo mbele yenu kuomba ushauri nifanye nini baada ya kupoteza vyeti vyangu vya shule ambavyo:
Cheti cha chuo VETA
Academic ya form 4
Living
Birth
Naomba ushauri nichukue hatua gani ila nina soft kwenye flash niliwahi kuviscan
Jamani naombeni kuuliza kwa waliowahi kufanya interview katika kiwanda cha viatu cha Moshi, maana tangu interview kufanyika tumesubiri mpaka leo kwa mwenye taarifa zaidi anijuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.