Ni katika ukumbi wa MCC uliopo maeneo ya chuo uria. Mada kuu itakuwa ni kuelezea mapungufu yaliyomo katika katiba pendekezwa, katiba ya change na sita mafisadi.
Uchambuzi mzuri Sana kamanda. Haya mabaya yote wanayofanyiwa watu wa kanda ya ziwa na maeneo mengine ndiyo tunapashwa kuwaeleza wananchi tuwapo majukwaani
Wasira alikuwa anaumwa ukoma usoni na ndiyo maana sura ya wasira iko namma ile. Huo ugonjwa alitibiwa na mama yake warioba na akapona. Kwa nini wasira Leo hii anamsakama warioba?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.