kwanza hongera kwa hapo ulipo fikia pili nasikitika sana na elimu zetu za hapa tanzania hazina uelewa juu ya maswara haya ya IT vyuo vikuu vimebaki nimajina tuu mala UCC mala DIT namengine mengi chakushangaza nihapa umesema umesoma CCNA Kwautaratibu CCNA cheti chake kinatolewa na CISCO tuka...
Kwenye hii mada nimeona dada zetu mmejitahidi sana kujibu hasa nafikiri kwavile nyinyi ndio walengwa ila unabaki kuwa nisili kwakua kila mmoja wenu anakilio chake ambacho huzani hutoa ishara kwayule mlengwa wa hicho kilio japo kwenye ukweli na uongo upo ila ndio ukweli wenyewe
ngoja nijalibu...
Leo nimeona nilete hili jambo, katika ujana wangu nimebahatika na kuwa na mahusiano ya kimapenzi na zaidi ya msichana mmoja ila kitu nilicho gundua hata wewe jalibu kufanya utafiti
kama upo kwenye mapenzi na mwanamke zaidi ya miaka miwili na hujabahatika walau siku moja
kuona machozi yake basi...
kwamaelezo yako inaonekana we ni mkarimu sana hivyo kunawakati maisha yanakua nikusaidiana mimi sina kazi ya kukupa ila natafuta mwanamke wakuoa mwenye malengo kama wewe siku utakayo itaji kuolewa usiache kuja inbox napia uwe tayari kuhamia dar nakutakia utafutaji mwema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.