Recent content by MjiniShule

  1. M

    Associates (60 positions) - Global Tourism Company

    To be posted soon
  2. M

    Nimeitwa interview UDOM lakini sitaenda...

    This is what happens when u dodge math classes.
  3. M

    UDSM & DUCE kuna nini?

    Huyu Prof. analalamika kuchelewa kwa mshahara na kutopewa nyongeza ya mshahara ya mwaka 2012-2013. Hii ni tofauti na jamaa hapo juu anayedai kutopata mshahara kwa mwezi wa tatu sasa, which I think is a misconception. Ingekuwa mishahara haijatoka kwa miezi mitatu UDSM kungewaka moto
  4. M

    UDSM & DUCE kuna nini?

    Aisee hebu clarify vizuri hii claim yako. Mimi ni mfanyakazi wa hapo na ninalamba salariii kama kawa.
  5. M

    Interview I-TECH

    Asante mkuu
  6. M

    Interview I-TECH

    Hello again, dogo bado hajaitwa. Anyone with the updates?
  7. M

    kupata kazi ni kazi

    . Wima, pole sana mkuu. Nimekua nikisikia malalamiko kama yako kwa vijana wengi tu. Ninavyofahamu ni kwamba fresh graduate pamoja na kwamba anakuwa hajafanya kazi kwa malipo anakuwa expected awe na experience inayopatikana either from field work au internships. Most countries mtu akimaliza chuo...
  8. M

    Interview I-TECH

    Asante for the updates mischa.
  9. M

    Interview I-TECH

    Kaaazi kwelikweli. Ilikuwa oral/ written?
  10. M

    Interview I-TECH

    Thanks for the update man.
  11. M

    Interview I-TECH

    Mambo vipi wakuu? Kuna bwana mdogo wangu aliitwa for written interview I-TECH, tumbo joto hajui kama amepita au la and he doesn't want to call their office. Kuna wadau wowote waliofanya wakaitwa kwenye oral interview? Appreciate.
Back
Top Bottom