Siku hii nchi ikijua madhara ya udhibiti uliopitiliza ndo siku tutatoka. Watu wanaona sifa kudhibiti kila kona kuliko biashara kufanyika. CNG kwa magari imeanza karibia miaka 10 sasa, cha ajabu magari yaliyobadilishwa ni machache mno, hata hao EWURA na TPDC bado hawatumii gesi, wameshikilia...
Kampuni ndogo inatafuta ofisi ya kupanga. Iwe maeneo mazuri kama vile mikocheni, kinondoni, magomeni, Sinza, Mwenge, n.k. Bajeti mwisho laki 5 kwa mwezi.
Huduma muhimu ziwepo.
Pm kama unayo.
Msaada wadau,
Natafuta magunia (viloba) kwa ajili ya kuwekea mazao. Hasa yale ya 100kg kwa bei ya jumla.
Mwenye kujua bei. Navitaka hapa kwetu Sumbawanga.
Asanteni.
Tuma Meseji 0620 484 081 kama unavyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.