Recent content by Mjenga Nchi

  1. M

    Jeraha la kisiasa ( political casuality) la Prof. Kitila Mkumbo kwenye kuwania Ubunge

    Joto la harakati za kupata ubunge limezidi kupamba moto miongoni mwa watia nia wa chama tawala pamoja na vyama vya upinzani. Ni sarakasi , vitimbi na mnyukano vinaendelea huko majimboni. Hapa nataka nizungumzie jimbo la Iramba Magharibi ambalo lipo chini ya Dr Mwigulu kupitia chama Cha...
  2. M

    Hiki kiburi, jeuri na dharau Prof. Kitila Mkumbo nguvu anaipata wapi

    Hivi majuzi, Katibu wa Siasa na Itikadi Ndg Humphrey Polepole, Kwa niaba ya Chama aliongea na wandishi wa habari Kama mlivyomsikia alisema, 1) Wale wasaka Ubunge wanaovuruga majimbo ya CCM hawatateuliwa maana ni walafi wa madaraka. 2) Wale walioteuliwa na Rais katika majukumu mbalimbali mfano...
  3. M

    GE2020 Msumari hatari kwa Mwigulu Nchemba

    KAMA HUMJUI MWIGULU NCHEMBA KAA KIMYA NI MTU MWENYE ROHO YA PEKE YAKE USIMLINGANISHE NA KITILA. Sisi wanairamba tunayemjua tunakushangaa sana Mwigulu ni mtu mwenye roho ya kipekee mno. Nakumbuka Mwigulu alipokuwa anatafuta ubunge, alikuwa anatumia tax ya mtoto wa Kipakulo alipopata ubunge...
  4. M

    Kama humjui Mwigulu Nchemba kaa kimya, siyo kumlinganisha na Kitila Mkumbo

    KAMA HUMJUI MWIGULU NCHEMBA KAA KIMYA NI MTU MWENYE ROHO YA PEKE YAKE USIMLINGANISHE NA KITILA Sisi wanairamba tunayemjua tunakushangaa sana Mwigulu ni mtu mwenye roho ya kipekee mno. Nakumbuka Mwigulu alipokuwa anatafuta ubunge, alikuwa anatumia tax ya mtoto wa Kipakulo alipopata ubunge...
  5. M

    GE2020 Mwigulu Nchemba Vs Kiltila Mkumbo jimbo la Iramba Magharibi

    Huyo ni tapeli na mwizi taarifa zake tunazo kwao aliambulia kujenga kilabu cha pombe. Ana roho mbaya sana huyu hawezi kuwa mbadala wa Mwigulu. Mwambieni aendelee na wizi wake kwenye ukatibu mkuu
Back
Top Bottom