Recent content by MJEMA4REAL

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha: Kwa hili namshukuru Mungu

    shikamoo mkuu. wivu sio dawa kikubwa ni malengo ya kufanya vikubwa zaidi %hongera sana%
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msichana wa kazi ameniweka pabaya sana

    ptuuuuuuuuu!!!! haki ya nan wewe hapo huna chako. umekosa nini kwa mkeo hadi utamani ndani ya chupi ya dada wa kazi? we kufa nalo tu kama hukua na mpango wa mke wa pili fanya fasta.
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wana MMU kwanini mtu akianzisha thread mnamuita mtoto?

    Hata mtu mzima au aliyekomaa kiakili hawezi kumdharau mtu asiyemjua ukiona mtu ameandika hovyo usikoment ili nawe uonekane umekomaa kiakili. USIJEFIKIRI UNAANDIKA POINT KWA KUMWITA MWENZAKO MTOTO NA UMEISOMA THREAD YAKE.
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nampenda sana mtoto wa binamu yangu, nitaruhusiwa kumuoa?

    sio adabu unataka kuleta habari za kina ISAKA au yakobo, usithubutu mbona warembo wapo wengi tu. TUPILIA MBALI
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kipi bora kuoa ndio uende shule au kwenda kusoma? Ila hii na baada ya kujipanga kimaisha

    Ndugu yangu kukomaa akili hukuna mahusiano na ujenzi wa mahusiano mtu anapotaka ushauri maana yake ana majibu mawili kichwani ambayo anafikiri ni sahihi kama ndugu yangu huna ushauri usichangie maana huna msaada.
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

    jifunze kupitia mazara. faida zake ni kidogo na hazina maana. FIKIRIA KWA MAKINI NA UCHUKUE HATUA KALI TENA ZIWE CHANYA.
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kipi bora kuoa ndio uende shule au kwenda kusoma? Ila hii na baada ya kujipanga kimaisha

    shukrani kwa ushauri ila ninampenda na hatonielewa iwapo nitaahirisha na kusema naenda shule.Bado nina wakati mgumu.
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kipi bora kuoa ndio uende shule au kwenda kusoma? Ila hii na baada ya kujipanga kimaisha

    Ninae mpenzi wangu kwa kifupi tunapendana yeye yuko chuoni anasomea Nursing ila nilitamani tufunge ndoa baada ya yeye kumaliza masomo yake alafu mimi niende nikajiongeze. Sasa naomba ushauri nitimize azma ya kumuoa ndio nisome au nikasome ndio nimuoe? Ninaogopa nisipofanya hivyo mahusiano yetu...
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuondoe ubishi juu ya wanawake wenye uke mrefu na mfupi

    jamani mungu akusaidie namna ya kufikiri. Hii sio kabisaaaaaaaaaaaa!!!!!!
Back
Top Bottom