Wakati mwengine hujuiuliza uamuzi gani huchukuliwa kuchagua viongozi, Poor management, bad politics na chuki binafsi. Viongozi ndio wanayoirudisha nyuma Zanzibar. Waziri anaishutumu Marekani kwa kuwakataza raia wake wasiende pemba , kuwa wao ndio wanaozusha zogo huko, tafadhali nani asiyejua...
Ahsante sana Rev kwa kuichambua CCM, tumechoshwa na mwennendo unaotupeleka, tumechoshwa kuimba Zidumu fikra za mwenyekiti, Hakuna mwenyekiti mwenye Fikra ambazo zinahitaji kudumishwa katika CCM. Inasikitisha sana kufikia rais JK kutupiwa mawe na wanakijiji ni wakati umefika wananchi wamechoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.