Nimepitia shauri nyingi kakini Chukua huu ushauri tendea kazi.
Binafsi naamini Mungu atakupa ukiwa kwake asilimia mia zaidi ya hapo hasikii maombi ya mwenye dhambi.
Mzee ni balaa tupu[emoji1787][emoji1787].
Kwanza wale wanaozifanya zile kazi wanajuana na wamesha fanana nazo,,
Niliisi kufa kabisaa nikawa naona nyota nyota machoni umo ndani joto lake kama jehanamu alafu nondo inatoka kwenye kinu ya moto inapita tu pale kwenye maji...
Ni hatari mimi nilipitia hiyo changamoto nikiwa mwanza,jamaa yangu akanambia pale nyakato still kazi nje nje akaniuliza utaweza?,nikaona kanidharau nikamwambia we nipeleke,nikashangaa jamaa alivyonifikisha pale akaniachia na nauli ya kurudia[emoji1787],
Wazee nilianza vikazi vidogo dogo,kifupi...
Dah, shukurani sana,yaani umenifungua macho sana. Tafadhali kwa mapenzi yako, kati ya fani hizo tatu ni ipi nitembee nayo hasa? Binafsi nahisi hii ya maji na the best.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.