Nimekusoma mkuu, lakini naona mtaji kama hautatosha... nikiamua kuchagua kimoja, kati ya kuku na nguruwe unashauri vipi? Yani kipi kitarudisha pesa kwa haraka?
Nimechoka kuajiriwa, nina Mtaji wa Milioni 5 na nataka kujikomboa kupitia kilimo/Ufugaji. Naombeni Ushauri niingie kwenye kilimo/ufugaji gani kwa kuzingatia mtaji, uendeshaji na urahisi wa masoko.
Nina shamba la hekari 3 na sina uzoefu mkubwa wa kilimo/ufugaji.
Nitashukuru sana wadau.
Nimechoka kuajiriwa, nina Mtaji wa Milioni 5 na nataka kujikomboa kupitia kilimo/Ufugaji. Naombeni Ushauri niingie kwenye kilimo/ufugaji gani kwa kuzingatia mtaji, uendeshaji na urahisi wa masoko.
Nina shamba la hekari 3 na sina uzoefu mkubwa wa kilimo/ufugaji.
Nitashukuru sana wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.