Recent content by Mjapenga

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Mazingira hayaruhusu mkuu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Mkuu asante sana kwa kunipa mwanga kwenye hili
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Nimekusoma mkuu, lakini naona mtaji kama hautatosha... nikiamua kuchagua kimoja, kati ya kuku na nguruwe unashauri vipi? Yani kipi kitarudisha pesa kwa haraka?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Soko lake limekaaje? Maana naona kila mtu anakimbilia matikiti, haifanyi bei kuwa ya chini?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nina mtaji wa milioni 5, nijiunge kwenye kilimo/ ufugaji?

    Nimechoka kuajiriwa, nina Mtaji wa Milioni 5 na nataka kujikomboa kupitia kilimo/Ufugaji. Naombeni Ushauri niingie kwenye kilimo/ufugaji gani kwa kuzingatia mtaji, uendeshaji na urahisi wa masoko. Nina shamba la hekari 3 na sina uzoefu mkubwa wa kilimo/ufugaji. Nitashukuru sana wadau.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Vipi kuhusu soko lake? Ni hili la kuuza kwa majirani au yapo masoko makubwa zaidi? Shukrani!!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Nimechoka kuajiriwa, nina Mtaji wa Milioni 5 na nataka kujikomboa kupitia kilimo/Ufugaji. Naombeni Ushauri niingie kwenye kilimo/ufugaji gani kwa kuzingatia mtaji, uendeshaji na urahisi wa masoko. Nina shamba la hekari 3 na sina uzoefu mkubwa wa kilimo/ufugaji. Nitashukuru sana wadau.
Back
Top Bottom