Nina mtaji wa milioni 5, nijiunge kwenye kilimo/ ufugaji?

Mjapenga

Member
Apr 27, 2017
7
2
Nimechoka kuajiriwa, nina Mtaji wa Milioni 5 na nataka kujikomboa kupitia kilimo/Ufugaji. Naombeni Ushauri niingie kwenye kilimo/ufugaji gani kwa kuzingatia mtaji, uendeshaji na urahisi wa masoko.

Nina shamba la hekari 3 na sina uzoefu mkubwa wa kilimo/ufugaji.

Nitashukuru sana wadau.
 
First of all jifunze kwanza pesa ni nini? Ijue pesa kwanza, jifunze ubahili, ubinafisi, uchoyo, ukatili,uvumilivu unapokalia moto! roho mbaya, budget, kujitegemea, kutomwamn mtu,
Ukifuzu hayo nione nikusaidia kuchagua aina ya fursa ya kwenda kupanda hiyo 5m!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom