Recent content by Mjapan 390

  1. M

    Kama hutasoma kozi hizi unapoteza muda wako

    hatar xana mtu una bachelor yako lkn maisha magumu île mbaya.jamaa hatoi ajira anasema mjiajiri Mungu aingilie kati hii n tz ya viwanda kwel
  2. M

    Mbali na udaktari/ualimu, kozi gani ya sayansi yenye ajira ya moja kwa moja?

    Hakuna ajira ya moja kwa moja ni bora hata ukasomee agriculture ili uitumie vizur na ukafikia ndoto zako
  3. M

    Kama hutasoma kozi hizi unapoteza muda wako

    Kubishana na watoto $ wasiojielewa ni shida kwelkwel
  4. M

    Kama hutasoma kozi hizi unapoteza muda wako

    Acha mbwembwe ww hakuna ambaye hataki kujiajili shida ni mtaji,alafu ukute ulisomea mkopo wa serikali chuo hilo déni utalilipa vip kimsingi elimu yetu haimuandai mwanafunzi kujiajili ndo maana wasomi wa maana wanakimbilia kwenye siasa coz wanatafuta maslai mazuri.Tukibadilisha mfumo wa elimu...
  5. M

    Kuna combination ya Computer A-level?

    Haiwezekani kuiacha chemistry computer ni somo la ziada
Back
Top Bottom