Recent content by mjamaa

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tamko la wasomi kuhusu ufisadi

    labda mlikuwa hamjui kuwa JK amekuwa Senior Intelligency Crue wa TZ kwa miaka kibao... mngelijua hilo mngekuwa mnajudge utendaji wake kwa staili nyingine kabisa... kwa taarifa yenu kukaa kwake kimya kuna kishindo. subirini vikao vya bunge vya Mei na July mtaelewa hili. kashfa ya Richmond...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Serikali inamlipia matibabu Shekhe mkuu India

    tuache unafiki na hoja zisizo na maana. kwani Shekhe kulipiwa matibabu kuna kosa gani jamaniii? mbona watoto kibao hupelekwa india kufanyiwa upasuaji wa moyo na magonjwa mengine? na huyo askofu aliyekuwa kwa kukosa matibabu Dar ni yupi?
Back
Top Bottom