labda mlikuwa hamjui kuwa JK amekuwa Senior Intelligency Crue wa TZ kwa miaka kibao... mngelijua hilo mngekuwa mnajudge utendaji wake kwa staili nyingine kabisa... kwa taarifa yenu kukaa kwake kimya kuna kishindo. subirini vikao vya bunge vya Mei na July mtaelewa hili.
kashfa ya Richmond...
tuache unafiki na hoja zisizo na maana. kwani Shekhe kulipiwa matibabu kuna kosa gani jamaniii? mbona watoto kibao hupelekwa india kufanyiwa upasuaji wa moyo na magonjwa mengine?
na huyo askofu aliyekuwa kwa kukosa matibabu Dar ni yupi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.